EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Mie hata sijaelewa bado.
Mie hata sijaelewa bado.
Teh teh..kama alivyokwenda kumwimbisha mapambio Nahrene ?...kuna mwenzake jichawi .Shem wacha na mimi niseme Amen kwa maombi hayo mliokuwa nayo na baba mtumish jambilo ila tahadhar usimtaje taje huyo mtu mshana jr maana nasikia anauwezo wa kukuchukua usiku kutoka kwenye mikono ya mtumishi akakupeleka kwake mkaimba na kusifu saaaaana na asubuhi akakurudisha kwa mtumishi ukiwa hoi na nadhan itabid iwe siri yako tu na wewe mtumish hutowesha mwambia..
Karibu mgeni, jisikie huru.Hodiii!!!!**
Karibu mkuu.Hodiii!!!!**
Karibu, jisikie uko nyumbani, sijui utapendelea kinywaji gani??Hodiii!!!!**
Mpe burudani wine achangamkeKaribu, jisikie uko nyumbani, sijui utapendelea kinywaji gani??
Wengi sana wamezoea mbio fupi.Naona watu wamekata pumzi...
Naomba usome post #3 mkuu utaelewa.Makapuku?
What does this name stand for?
Famous slogan representing JF upcoming members and future great thinkers
falcon mombasa kama una swali lingine uliza kabisa Kabla mshana hajaenda msata na kufanya mambo yakeFamous slogan representing JF upcoming members and future great thinkers
falcon mombasa kama una swali lingine uliza kabisa Kabla mshana hajaenda msata na kufanya mambo yake
