Makapuku Forum

Makapuku Forum

4409aa7a543a321986729867f9faa01f.jpg
Mie hata sijaelewa bado.
 
Shem wacha na mimi niseme Amen kwa maombi hayo mliokuwa nayo na baba mtumish jambilo ila tahadhar usimtaje taje huyo mtu mshana jr maana nasikia anauwezo wa kukuchukua usiku kutoka kwenye mikono ya mtumishi akakupeleka kwake mkaimba na kusifu saaaaana na asubuhi akakurudisha kwa mtumishi ukiwa hoi na nadhan itabid iwe siri yako tu na wewe mtumish hutowesha mwambia..
Teh teh..kama alivyokwenda kumwimbisha mapambio Nahrene ?...kuna mwenzake jichawi .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom