Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mpenzi nipo mahali nimeona kuna perfum nzuri sana zile uzipendazo kati Dolce &Gabbana na Gucci ungependa nikuchukulie ipi my dear...We wacha waone vimependeza wasijue vimegharamiwa Mbulu
Bby Dolce&Gabbana as usually
1461052183084.jpg
 
Hatujambo shemeji....tulikuwa kwenye maombi mazito sana,si unajua taifa linahitaji uponyaji kutokana na majeraha ya kifisadi? Tunaomba pia kwa ajili ya kuokoka mshana jr .

T
Shem wacha na mimi niseme Amen kwa maombi hayo mliokuwa nayo na baba mtumish jambilo ila tahadhar usimtaje taje huyo mtu mshana jr maana nasikia anauwezo wa kukuchukua usiku kutoka kwenye mikono ya mtumishi akakupeleka kwake mkaimba na kusifu saaaaana na asubuhi akakurudisha kwa mtumishi ukiwa hoi na nadhan itabid iwe siri yako tu na wewe mtumish hutowesha mwambia..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom