Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Zipo mtu kama tatu hivi zote zimekaza macho kwa ShunieNa wewe mkuu unamtaka shunie![]()
![]()
![]()
![]()
Walaii waulize waliotanguliaa ....utapotea kama waliojaribu


. Mchuano ni mkali ila naamini mi ndo nitaibuka kidedea. Nia ninayo, sababu ninayo na uwezo ninao (maneno ya mwl. Nyerere haya alipokuwa akimchimba mkwara Idd Amin). Tuwemoooo!!!

