Makapuku Forum

Makapuku Forum

Na wewe mkuu unamtaka shunie

Walaii waulize waliotanguliaa ....utapotea kama waliojaribu
Zipo mtu kama tatu hivi zote zimekaza macho kwa Shunie . Mchuano ni mkali ila naamini mi ndo nitaibuka kidedea. Nia ninayo, sababu ninayo na uwezo ninao (maneno ya mwl. Nyerere haya alipokuwa akimchimba mkwara Idd Amin). Tuwemoooo!!!
 
Tafakari ya usiku msome kwa uwezo wa roho mtakatifu

f09135123497b6b66cd7a5361082ce66.jpg
Ubarikiwe mkuu Nyagei
 
Sitakuwa hewani kwa masaa kama sita hivi. Shunie akiamka jamani mnisalimie. She is always in my mind. Ngoja Lee atambe mpaka nitakaporudi.

Sikujua kama kufika Bujumbura ni kazi namna hii. Yaani hakuna direct flight. Hii imekaaje hii? Ningejua ni afadhali hata kama ningeshukia Bukoba au Koromije halafu nikanyage petroli. Shunie I am pissed. Pray for me baby. Nitakusemesha jioni. Let me go face the world!!!
1a8da93b04dad56cd086e3bdccfd2284.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom