Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Naona habari imefutwa JF muda huuHuyu mzee chenga sana. Au yale mapendekezo ya kamati kumpangia raisi nini cha kufanya
SIJUI KIMETOKEA NINI
......
Naona habari imefutwa JF muda huuHuyu mzee chenga sana. Au yale mapendekezo ya kamati kumpangia raisi nini cha kufanya
Pamoja sana ndugu yangu.Mkuu kweliii naona msigwa kaisaini
Ila mkuu hapa kakosea ila tuyaache kama yalivoo
Asante mkuu kwa taarifa
Mkuuu bora nikaamie kwa mseveni![]()
Stupid Sizonje
.......
Hiyo ya baraza la mawaziri au?Naona habari imefutwa JF muda huu
SIJUI KIMETOKEA NINI
......
Ni kweli lii mange kapost baruaKama ni kweli hii nchi inakoenda siko
Hii ndio tz, kila jambo linawezekanaHuyu mzee chenga sana. Au yale mapendekezo ya kamati kumpangia raisi nini cha kufanya
Tuna safari ndefu sanaHii ndio tz, kila jambo linawezekana
lakini bado 3.5 yrs tu, mkulu atakua hana chake, tuvumilieTuna safari ndefu sana
Ilipigwa block zen imerudishwaHiyo ya baraza la mawaziri au?
Sasa tunaamini yule mwenye tako kubwa ni girlfriend au first lady wa mkulu sio bureMkuuu bora nikaamie kwa mseveni
Kwendaa zakooHahahaha, ningemtaka ningeshachukua
Bashite anapeta tu uraiani...ila ajue nothing stands still
Hapa ni Afrika vikaratasi vya kura haviwezi kumuondoa labda tu ashindwe kila kitu ikiwepo matumizi ya vifarulakini bado 3.5 yrs tu, mkulu atakua hana chake, tuvumilie
No inch doubt about itIlipigwa block zen imerudishwa
Sasa tunaamini yule mwenye tako kubwa ni girlfriend au first lady wa mkulu sio bure
Nape wala hajapoteza sana maana ni mbunge...pia kajijengea heshima
Mwakyembe aliyepelekwapelekwa na Lissu ndo atawaweza watoto wa mjini Clouds?
.....
Ngojaa tuone mwisho wakeIlipigwa block zen imerudishwa
Sasa tunaamini yule mwenye tako kubwa ni girlfriend au first lady wa mkulu sio bure
Nape wala hajapoteza sana maana ni mbunge...pia kajijengea heshima
Mwakyembe aliyepelekwapelekwa na Lissu ndo atawaweza watoto wa mjini Clouds?
.....
Tuuze nchi tugawane hela kila mtu afe kivyakeNimejisikia vibaya sana magu kumdrop Nape kisa kawa mkweli na hakuwa mnafiki..
Ngoja nipige hata glass ya wine asubuhi hii hii nitoe stress...
Una uhakika?lakini bado 3.5 yrs tu, mkulu atakua hana chake, tuvumilie
Ni hivi mwakyembe anaweza akashindwa ila mamlaka ya juu inaweza ndugu. Utawala ni balaa.Ilipigwa block zen imerudishwa
Sasa tunaamini yule mwenye tako kubwa ni girlfriend au first lady wa mkulu sio bure
Nape wala hajapoteza sana maana ni mbunge...pia kajijengea heshima
Mwakyembe aliyepelekwapelekwa na Lissu ndo atawaweza watoto wa mjini Clouds?
.....