Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Karibuu
aiseeeLee empire nataka kukujua
Jaza hii form
Wewe ni nani humu makapuku..........
Unaumri gani..........
Ke/me..........
Hao waache hukoNgoja niite warembo wa mmu nione kama watatulia

Afu mkuu kwanini si wengine hatuoni picha mkuu afu nitathink vip wakati hakuna ninachokielewaPunguza mbwembwe
Think before Asking
Wataweka picha utaona
Hongereni Shunie and Lee EmpireMkuuu Leo kapuku tumeamua
Sema shunie 146
Lee wa shunie 147
Mapenzi haya jamani![]()

Kweli mkuu mm nakumbuka ilinichukua wiki 6-7 kuzoea na kuanza kupost humuNishamwambia mapema
Hatukuanza hivyo sisi tulianza taratibu
nan malkia unampa maujanjaKwanza shunie hana mtu....ngoja ntakupa maujanja ya kumpata pm
Ooosh!mfano mm tangu saa 11 nilikuwa off sasa ndo naingia hapa nimekuta posts 191 acha tu niskip



Mgeni, ila kaja kwa pupaanan malkia unampa maujanja
Kasiii yako inatishaaLee empire nataka kukujua
Jaza hii form
Wewe ni nani humu makapuku..........
Unaumri gani..........
Ke/me..........
Afu mkuu kwanini si wengine hatuoni picha mkuu afu nitathink vip wakati hakuna ninachokielewa
ngewemiss you tooKaribu Nyagei we missed you
Eee kumbe noma kiasi hiki
Kakosa speed gavanaKweli mkuu mm nakumbuka ilinichukua wiki 6-7 kuzoea na kuanza kupost humu
Who???kiboko yenu
MmuWho???
Ooosh!
Umeharibu mkuu...hapo katika kuna mrembo alikuwa anakuulizia.![]()
