Makapuku Forum

Makapuku Forum

73dc609661391dd36e8fe024dbf2e27f.jpg
 
Makapuku oyeee

Ukweli nikwamba kapuku yoyote anaruhusiwa kiingia jukwaa hili la makapuku forums[b/] hivo basi kama we ni tajir ulipo ingilia ndio utakapo tokea.

Makapuku oyeee
Mkuu Be humble..

Hii forum haina maana ya makapuku kuwa watu wasio na uwezo wa kifedha... no..

Kuelewa maana ya makapuku na lengo la hii forum rudi post # 5 mwanzono kabisa mwa uzi.

Kuwa mtaratibu tuu utaelewa maana ya huu uzi ma watu wanafanya vipi humu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom