Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Ila kamati yetu ina mamna ya kukimbia janga kama hilo..Ningekubali je?
Unasema ni Utani tuu..!



Ila kamati yetu ina mamna ya kukimbia janga kama hilo..Ningekubali je?



Mkuu pesa nisikupe wakati huu ata like?Nilikuwa nakupa A B C na kwa mgeni mwingine Bablai
Kwanza shunie hana mtu....ngoja ntakupa maujanja ya kumpata pmUshiiiiiindweeeeee
Karibu mkuu kapukuThankx mkuu,
Chukua like babaaa
HahaaaaaIla kamati yetu ina mamna ya kukimbia janga kama hilo..
Unasema ni Utani tuu..!![]()
Umenigusa apo shunie tenaFanya yote ila usinengenekwee kwa shunie

lee eb siku twende mbudya sema naogopa lkn vile vibotilee empire ukudje
Ngoja niite warembo wa mmu nione kama watatuliaVijana wangu matata sana hao..
Nyagei sijuo tuko wapi
Usijali mkuuSasa mkuu nimekutana nayo nkaona sio dhambi tukiwekana sawa kidogo.
Ila kamati yetu ina mamna ya kukimbia janga kama hilo..
Unasema ni Utani tuu..!![]()

bora nilikaza kamba
umeanzaUmemuona bitoz
AiiiiiseeeeeehJamani nataka kujua kwanza huku kwenye ukapuku kuna mods![]()
![]()
niambieni msinifiche nna ubuyu
Sawa mkuu mi mgeni humu nimevutika na hako kaneno makapuku forumMkuu Be humble..
Hii forum haina maana ya makapuku kuwa watu wasio na uwezo wa kifedha... no..
Kuelewa maana ya makapuku na lengo la hii forum rudi post # 5 mwanzono kabisa mwa uzi.
Kuwa mtaratibu tuu utaelewa maana ya huu uzi ma watu wanafanya vipi humu..
Mapenzi haya jamani

hahahahhahNishamwambia mapema
Hatukuanza hivyo sisi tulianza taratibu
Ananikumbusha machunguumeanza