Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu Be humble..

Hii forum haina maana ya makapuku kuwa watu wasio na uwezo wa kifedha... no..

Kuelewa maana ya makapuku na lengo la hii forum rudi post # 5 mwanzono kabisa mwa uzi.

Kuwa mtaratibu tuu utaelewa maana ya huu uzi ma watu wanafanya vipi humu..
Sawa mkuu mi mgeni humu nimevutika na hako kaneno makapuku forum
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom