Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ahaaaaaaah kweliii mm nimekula kwa mama ntilie hajapikaKuna ukimya huku kweli...
Mtu kama shunie sidhani hata kama amekula leo..
Ahaaaaaaah kweliii mm nimekula kwa mama ntilie hajapikaKuna ukimya huku kweli...
Mtu kama shunie sidhani hata kama amekula leo..
HatareeeeAhaaaaa Leo hatari asubh bibie kagonga 146 jionii nimemaliza147
Anha najuaJe Wajua za hapa ni FACT sio CHANGA!!!
Halafu kuna couples huku msirukie rukie mkajapigwa LishashiAta magaid mnaruhusiwa ila muombe werrason naisi yeye ndie copro huku
Kitakachokupata utaadithia ila karibuJamani samahani, kwenye hii forum mamluki tunaruhusiwa?
Punguza speed mkuu bado mgeni humu ujue. Utapata ajali bureMakapuku oyeee
Ukweli nikwamba kapuku yoyote anaruhusiwa kiingia jukwaa hili la makapuku forums[b/] hivo basi kama we ni tajir ulipo ingilia ndio utakapo tokea.
Makapuku oyeee
Umeonaa ee, ana tamaaHahHHa
Paprika amerudi...! Hivi Queen kan angekukulia asubuhi ile jioni si ungeonelana Nanga..![]()
Aeeeerrrh!JE WAJUA?
Mshindo wa Nguruwe anapofanya mapenzi (Orgasm) unadumu kwa muda wa Dakika 30
Weee unafaaa kapukuKuna aina tatu tu za kujibu maswali
1.swali kwa swali
2.swali kwa maelezo
3.swali kwa mkato
We naona umeongeza ya nne
4. Swali kwa Kukwepa swali.
Sawa mkuu makapuku oyeeeeeeUkipuuzwa na makapuku utaondoka tu. Jifunze protokali za huku. Ndo maana tukaambiwa ukienda Roma, fanya kama Waroma wanavyofanya. Siyo unaingia na mikwara na maneno meengi yasiyo na tija. Karibu!
Masela with class. Tupo watu wa kila aina. Tuwe na mipaka. But sorry accepted. Uungwana ni adimu siku hizi hata ungenitwanga tusi wala nisingeshangaa. Thaaaaaaankssssss!!!Sorry mzee
Huku ni full masela
Don't panic
.....
HahaaaaHahHHa
Paprika amerudi...! Hivi Queen kan angekukulia asubuhi ile jioni si ungeonelana Nanga..![]()
Ukipata tyme itumieePeople hazicheki mkuu..
Nikianza zile project zangu nitakuwa napamiss sana huku..
Hapa toa like pata like ndo mwendo wetuBora ata wangevaa suruali kuliko kuvaa pensi
Ningekubali je?Hahaaaa
Mbona unamwaga kuku kwenye mchele
Zilikua jokes
Njema, adjeZa jioni humu
Mkuuu Leo kapuku tumeamuaKasi ya huu uzi inanitisha.
Asubuhi ilikuwa nampongeza Shunie kwa 146k saa hizi ushafika 147k.
Kama ni gari basi Ngorika ya kipindi kile kabla ya tochi. Au Allys Sports Bus, Dar MWANZA spidi yake sio ya kitoto.
Mimi naeasubiria nitusue 150k ili nikae kwenye vitabu vya kumbukumbu.
JE WAJUA??
Leonardo da vinci alizoea kununua wanyama sokoni ili awaache huru
lee empire ukudjeNielekezeni jinsi ya kufika Mbudya Island? Gharama zipoje kufika huko?