Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,302
- 9,097
Fresh mkongo ,vipiNjema, adje
Fresh mkongo ,vipiNjema, adje
Couple werrason unaonekana upendi wageni wewe na wahamiaji haramuHalafu kuna couples huku msirukie rukie mkajapigwa Lishashi
HongereniMkuuu Leo kapuku tumeamua
Sema shunie 146
Lee wa shunie 147
Apewe tuzo leo na yeyeMkuuu Leo kapuku tumeamua
Sema shunie 146
Lee wa shunie 147
Mkuu amekusomaUkipuuzwa na makapuku utaondoka tu. Jifunze protokali za huku. Ndo maana tukaambiwa ukienda Roma, fanya kama Waroma wanavyofanya. Siyo unaingia na mikwara na maneno meengi yasiyo na tija. Karibu!
Yaishe nduguMasela with class. Tupo watu wa kila aina. Tuwe na mipaka. But sorry accepted. Uungwana ni adimu siku hizi hata ungenitwanga tusi wala nisingeshangaa. Thaaaaaaankssssss!!!
Kama ni ile pair ninayoijua mimi hakuna kitu. Empire ile lazima iparaganyike. Ma-Empire makubwa ya akina Alexander the Great yalidondoka sembuse hii? The Empire will fall and I will be the main cause...AND I WILL BE PROUD !!!Halafu kuna couples huku msirukie rukie mkajapigwa Lishashi
Mwekahazina nipooKweli mkuu tunakimbiza vibaya.
BUT nakuomba ulipie Tangazo lako hilo la mabasi ya Allys sports
145k???Mkuuu Leo kapuku tumeamua
Sema shunie 146
Lee wa shunie 147

mfano mm tangu saa 11 nilikuwa off sasa ndo naingia hapa nimekuta posts 191 acha tu niskipSkip mkuu nilikuta 150 nikaruka
Punguza speed mkuu bado mgeni humu ujue. Utapata ajali bure
Fresh mkongo ,vipi

KaushaaaHahHHa
Paprika amerudi...! Hivi Queen kan angekukulia asubuhi ile jioni si ungeonelana Nanga..![]()
Thankx mkuu,Point of correction mkuu
Kwa kutumia reference yako amphibian na reptiles wana chemba tatu za moyo means 2 atria na 1 ventricle na sio moja moja kama ulivosema ,tunakumbushana mkuu
Nikitumia reference yako tena fish especially lung fish ndo tunasema wana single circulation manake damu inapita tu that's y wana chemba moja moja ila narudia ni simple fish tukizama kwenye evolutionary
Na kuongezea baadhi ya reptile wana chemba zaidi ya 3 manake 4 kama binadamu hasa wale walioadvance kwenda mammals
Hummingbird ni aves kama birds wengine ,na birds kikawaida kama mamals wana chemba 4 za moyo ikimaanisha atria 2 na ventricles 2 mkuu nahis apo umekumbuka
Ventricle ya kulia inasukuma damu kwenye mapafu ya kushoto kwenda sehemu nyingine za mwili![]()
Karibu kapuku darasa huru
Hamuna ni tahadhari tu kijana!!! KALIBUCouple werrason unaonekana upendi wageni wewe na wahamiaji haramu

Hayakuwepo. Tusonge mbele!Yaishe ndugu
......
Umemuona bitozZa jioni humu
Kama ni ile pair ninayoijua mimi hakuna kitu. Empire ile lazima iparaganyike. Ma-Empire makubwa ya akina Alexander the Great yalidondoka sembuse hii? The Empire will fall and I will be the main cause...AND I WILL BE PROUD !!!

Weee unafaaa kapuku