Singidan
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 878
- 944
Poah poah mkuuKaribu mkuu ukitaka kuilewaa ni simple sana
Poah poah mkuuKaribu mkuu ukitaka kuilewaa ni simple sana
Leo katika Historia:
Niwatakie siku njema.

Leo kapuku wameamua kupiga 1k per day

Ngoma ikichezwa ingia kati utajua nini kinaendeleaAlafu hii post hata siilewagi sijuwi inahusu nn?
Sina mashaka ila ni vyema ukamsikiliza mwenzakoMkuu huna mashaka na mm
Safiii we are good welcome madameMambozz hope ya'all good
Skip mkuu nilikuta 150 nikarukaHapa kuna post zaidi ya 130 niwafikie![]()
Asante tunasubiriNamalizia kukusanya nondo tuanze kuporomosha Je wajua..Lee jiandae kwa picha
Simba mwenda pole katika ubora wake
Labda ingekuwa notes za paper.....I'm here.Skip mkuu nilikuta 150 nikaruka
Wewe Shunieuna furaha?
Tatizo la Wabongo ni umbea na roho mbaya. Huwezi kushinda kwa Mange Kimambi au kwa Shigongo ukimeza sumu halafu eti uje uwe na furaha. No way. Kuepuka tu mambo yasiyo na faida katika personal level kungeweza kuondoa ukungu na sumu katika mioyo ya wengi.
Halafu roho mbaya tumezidi siye Wabongo. Hata bila sababu. Juzi hapa namuomba ushauri rafiki yangu kuhusu uendeshaji wa vituo vya mafuta (yeye anavyo na mimi ndo nimeanza). Badala ya kunishauri yeye ananikatisha tamaa na kuniomba niachane kabisa na biashara hiyo. Wakati huo huo yeye ndo biashara iliyomtajirisha.
Note: Shuniewewe rukhsa kuweka mafuta bure katika kituo changu. Haki ya nani hata uje na tanker ni sawa tu. Ila Lee akikatiza ni lazima apandishiwe bei potelea mbali hata akashtaki EWURA!!!
![]()
hizi silaha si za nchi hii!!!Huyo Baba mwenye nyumba atakuwa mgane. Maana inaonekana ana ngunga za kufa mtu, na ni expert wa kuchezea vibuti mtaa mzima, yani hata akikuta mbuzi kachutama hovyo anaweza akampasua pasua![]()
Mwenye nyumba hataki mchezo mchezo

I see!JE WAJUA?
Harrison Ford ndie mtu pekee anayeweza kuchukia na kufurahi na kutabasamu kwa wakati mmoja. Yaani upande mmoja wa sura anachukia mwingine ametabasamu kwa wakati mmoja
Karibu Werrason we missed you
Karibu Nyagei we missed you
JE WAJUA?
Harrison Ford ndie mtu pekee anayeweza kuchukia na kufurahi na kutabasamu kwa wakati mmoja. Yaani upande mmoja wa sura anachukia mwingine ametabasamu kwa wakati mmoja