Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,247
Ha ha haJuzi ni juzi
Leo ni Leo
.....
Ha ha haJuzi ni juzi
Leo ni Leo
.....
Na siondoki huku sababu mi mwenyewe kapuku tuUmepotea!!!
kumbe watu wana pakee za kumwagaUmepotea!!!

MambozMambozz hope ya'all good
JE WAJUA??
Kuna idadi ya miili 200 ya watu katika mlima Everest. Ambayo hutumika kama alama (landmark )ili kufika kileleni

Kuna ukimya huku kweli...Saa imefika twendeni nyumbani, saa imefika twendeni nyumbani, hahaha nyie watu mbona kimya hivi
Kuna aina tatu tu za kujibu maswaliUnaelewa nini ukisikia miili ya watu?
Hahahaaa! Pole mkuuHapa kuna post zaidi ya 130 niwafikie![]()
People hazicheki mkuu..Leo kapuku wameamua kupiga 1k per day
JE WAJUA??
Pembe la Faru limetengenezwa na nywele zilizo unganishwa
Hata kama ni mafukara, tatizo liko wapi? Mafukara hawana haki ya kuwa na jukwaa lao na kujadili ufukara wao?Mi nilijua wote ni makapuku tu.
Nilifunga shemela mda si mrefu nimetoka kulaKuna ukimya huku kweli...
Mtu kama shunie sidhani hata kama amekula leo..
Ata magaid mnaruhusiwa ila muombe werrason naisi yeye ndie copro hukuJamani samahani, kwenye hii forum mamluki tunaruhusiwa?
Je Wajua za hapa ni FACT sio CHANGA!!!Si tunaondoa stress lkn nikitizama uso wako stress kibao una nini ?
Hahahaha! 150 chache mbonaSkip mkuu nilikuta 150 nikaruka
msukuma kwenye ubora wakoHata kama ni mafukara, tatizo liko wapi? Mafukara hawana haki ya kuwa na jukwaa lao na kujadili ufukara wao?
Angalizo: Kuna makapuku mamilionea (in US $s) na wasomi wenye PhD zao wako huku wanapunguza msongo unaoweza kuletwa na habari zisizokoma kumhusu Bashite, Koromije, Gwajiii na "upuuzi" mwingine usio na tija!