Makapuku Forum

Makapuku Forum

JE WAJUA??
Pembe la Faru
limetengenezwa na nywele zilizo unganishwa
3b3145ab02e7771b742655b046ade250.jpg
59461085a83d56d3e22c14786adc261e.jpg
ac7f5dc556a03768fb80c7a562ded745.jpg
 
Mi nilijua wote ni makapuku tu.
Hata kama ni mafukara, tatizo liko wapi? Mafukara hawana haki ya kuwa na jukwaa lao na kujadili ufukara wao?

Angalizo: Kuna makapuku mamilionea (in US $s) na wasomi wenye PhD zao wako huku wanapunguza msongo unaoweza kuletwa na habari zisizokoma kumhusu Bashite, Koromije, Gwajiii na "upuuzi" mwingine usio na tija!
 
Hata kama ni mafukara, tatizo liko wapi? Mafukara hawana haki ya kuwa na jukwaa lao na kujadili ufukara wao?

Angalizo: Kuna makapuku mamilionea (in US $s) na wasomi wenye PhD zao wako huku wanapunguza msongo unaoweza kuletwa na habari zisizokoma kumhusu Bashite, Koromije, Gwajiii na "upuuzi" mwingine usio na tija!
msukuma kwenye ubora wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom