BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Amelaaniwa amtumainiye mwanadamu na kumfanya kuwa kinga yake na kumwacha Bwana...Isaya 30:1,Yeremia 17:5
Amelaaniwa amtumainiye mwanadamu na kumfanya kuwa kinga yake na kumwacha Bwana...Isaya 30:1,Yeremia 17:5
NjemaPoaaa sanaa mkuuu. ...nipe habaarii
JE WAJUA??
Mkunga umeme (An electric eel) inatoa umeme wenye kutosha kuwasha magari 50

Karibu hapa utakunywa fresh juice tuu au maji ,no soda no alcohol.Nionyeshe pa kukaa na sodangu ii wapi?
JE WAJUA??
VIETNAM ina pango kubwa zaidi duniani ambapo ndani ya hilo pango kuna miti, mawingu na mto.
JE WAJUA??
Mbuni anakimbia haraka zaidi ya farasai, huunguruma kama Simba
Dunia nzima au tz tuJE WAJU??
Panda ngazi za maghorofa huua watu 12,000 kwa mwaka ila lifti huua watu 27 tu kwa mwaka
Dunia nzimaDunia nzima au tz tu
Mkuu mbona umetoa mfano kwa kutumia moyo wa binadamu wakati kikawaida moyo wa reptilia na amphibia huwa na chemba moja yaani one ventricle and one auricle
JE WAJUA?
Mshindo wa Nguruwe anapofanya mapenzi (Orgasm) unadumu kwa muda wa Dakika 30
Huyu jamaa namkubali katika ile Movie yake ya Air force one.JE WAJUA?
Harrison Ford ndie mtu pekee anayeweza kuchukia na kufurahi na kutabasamu kwa wakati mmoja. Yaani upande mmoja wa sura anachukia mwingine ametabasamu kwa wakati mmoja
Huo ni mtaji wa magari kabisa uo kwa pesa ya mdafu tena magari ya hatar kupitanayo mbuganiJE WAJUA??
Kampuni ya McDonald inatengeneza kiasi cha Dollar 59,178,080 kwa siku.
Sijui ni sh ngap kwa pesa madafu.
Ako na sharubati gani Mama Mchungaji???Karibu hapa utakunywa fresh juice tuu au maji ,no soda no alcohol.
JE WAJUA?
Mshindo wa Nguruwe anapofanya mapenzi (Orgasm) unadumu kwa muda wa Dakika 30