Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,257
Uko sahihi mkuuHata kama ni mafukara, tatizo liko wapi? Mafukara hawana haki ya kuwa na jukwaa lao na kujadili ufukara wao?
Angalizo: Kuna makapuku mamilionea (in US $s) na wasomi wenye PhD zao wako huku wanapunguza msongo unaoweza kuletwa na habari zisizokoma kumhusu Bashite, Koromije, Gwajiii na "upuuzi" mwingine usio na tija!

