Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,936
Duh!!! Leo ni babkubwaJE WAJUA??
Pembe la Faru limetengenezwa na nywele zilizo unganishwa
Duh!!! Leo ni babkubwaJE WAJUA??
Pembe la Faru limetengenezwa na nywele zilizo unganishwa
Nilikosea ndo maana nilifuta postMkuu mbona umetoa mfano kwa kutumia moyo wa binadamu wakati kikawaida moyo wa reptilia na amphibia huwa na chemba moja yaani one ventricle and one auricle
Safi sana mi mgeni huku kwenye ukapukuTupoooo
Ni sawa na kuteka maji baharini kisha uyamwage nchi kavu ili uikaushe bahari.JE WAJUA??
Leonardo da vinci alizoea kununua wanyama sokoni ili awaache huru
Asante mi mgeni huku kwenye ukapuku nimeona nijiunge na makapuku wenzangu kabla nilikuwa tajir saiv nimeishiwa pesa kuna fomu yakujaza huku?Tupo karibu
JE WAJUA??
Leonardo da vinci alizoea kununua wanyama sokoni ili awaache huru
hii nayo.....
Haiwezekani endeleaMnaoneje leo kwenye je wajua tuishie hapo
hhahhhahahh nimecheka sanaAsante mi mgeni huku kwenye ukapuku nimeona nijiunge na makapuku wenzangu kabla nilikuwa tajir saiv nimeishiwa pesa kuna fomu yakujaza huku?
Point of correction mkuuMkuu mbona umetoa mfano kwa kutumia moyo wa binadamu wakati kikawaida moyo wa reptilia na amphibia huwa na chemba moja yaani one ventricle and one auricle
Mimi ni mpigapicha wa Dikteta Mussolin05 kwenye leo ktk historia tu ndo kazi yangu na huwa naifanya kwa moyo mmoja....Bitoz lee empire kuna post nilizo post juzi za je wajua hazina picha kama hizo anazo Quote shedede.. naomba mziwekee picha kama itawezekana
AhaaaaaahAko na sharubati gani Mama Mchungaji???
HahaaaaaMimi ni mpigapicha wa Mussolin05 kwenye leo ktk historia tu ndo kazi yangu na huwa naifanya kwa moyo mmoja....nafikiri ww na Lee mna makubaliano yenu pia hivyo sihusiki nilichofanya ni kuokoa jahazi tu sababu niliona km vile anazuga eti picha zimegoma
Nafikiri umenielewa
. ........
Vita vinapiganwa na siku nikishinda utakuwa wa kwanza kujuahizi silaha si za nchi hii!!!



Juzi ni juziHahaaaaa
Basi nakuomba utupie na zile tu maana hazina picha
Mondray ongeza jee wajuaBitoz lee empire kuna post nilizo post juzi za je wajua hazina picha kama hizo anazo Quote shedede.. naomba mziwekee picha kama itawezekana
Nani kakuambia kapuku huku lina maana ya fukara???Asante mi mgeni huku kwenye ukapuku nimeona nijiunge na makapuku wenzangu kabla nilikuwa tajir saiv nimeishiwa pesa kuna fomu yakujaza huku?