Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
Unamwongelea yule mchoraji nguli ?JE WAJUA??
Leonardo da vinci alizoea kununua wanyama sokoni ili awaache huru
Unamwongelea yule mchoraji nguli ?JE WAJUA??
Leonardo da vinci alizoea kununua wanyama sokoni ili awaache huru
Sio kuzuga mkuu network shida inaoad zaid ya dk 7Mimi ni mpigapicha wa Dikteta Mussolin05 kwenye leo ktk historia tu ndo kazi yangu na huwa naifanya kwa moyo mmoja....
nafikiri ww na Lee mna makubaliano yenu pia hivyo sihusiki nilichofanya ni kuokoa jahazi tu sababu niliona km vile anazuga eti picha zimegoma
Nafikiri umenielewa
. ........
OKSio kuzuga mkuu network shida inaoad zaid ya dk 7
Leo umejiunga chekahhahhhahahh nimecheka sana
Lee huyu Jamaa ka-quote post kiporoPoint of correction japo uko sahihi
Hummingbird ni aves kama birds wengine ,na birds kikawaida kama mamals wana chemba 4 za moyo ikimaanisha atria 2 na ventricles 2 mkuu nahis apo umekumbuka
Ventricle ya kulia inasukuma damu kwenye mapafu ya kushoto kwenda sehemu nyingine za mwili![]()
Nini?aiseee
Madenge, common sense please! Bestiality tena za nini? Usivuke mpaka bana!
hakuna kituNini?
Mi nilijua wote ni makapuku tu.Nani kakuambia kapuku huku lina maana ya fukara???
Watu ako na mbongo zetu tunanunua nchi!!!
Tupo huku because ni free stress zone?
tena cheka ya mweziLeo umejiunga cheka
Nani kakuambia kapuku huku lina maana ya fukara???
Watu ako na mbongo zetu tunanunua nchi!!!
Tupo huku because ni free stress zone?





Mondray ongeza jee wajua
jee wajua mama mjamzito akitema mate ovyo ovyo ujue kiumbe kilichopo tumboni kimejamba ?

Naongelea huyo dada under the pig!!!Mimi napost kilichoandikwa
![]()
![]()
![]()
...

Hao watu wamekufa au wako hai na wapo part gani ya mlima ?JE WAJUA??
Kuna idadi ya miili 200 ya watu katika mlima Everest. Ambayo hutumika kama alama (landmark )ili kufika kileleni
Umeonaeeh!!!Madenge, common sense please! Bestiality tena za nini? Usivuke mpaka bana!
Si tunaondoa stress lkn nikitizama uso wako stress kibao una nini ?
Umepotea!!!Mi nilijua wote ni makapuku tu.
Unaelewa nini ukisikia miili ya watu?Hao watu wamekufa au wako hai na wapo part gani ya mlima ?
JE WAJUA?
Mbuni wanaofugwa mara nyingi wamejaribu kufanya mapenzi na wameliki wao