BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Mimi niliachq nilipata changamoto nyingi kupitia maji baridiMmh hatari ninavyoyapenda mm
Mimi niliachq nilipata changamoto nyingi kupitia maji baridiMmh hatari ninavyoyapenda mm
SikujuaJE WAJUA??
Wimbo wa Justin beiber "BABY" ndio unaongoza kuwa na dislike nyingi You Tube.
Justin Beiber ndio mtu anaye ongoza kwa kutukanwa zaidi mtandaoni.
Ila wanaumebwanalia machozi mengiiii compared to wanawake hapo
Yamoto weka ndimu au limao kdgkuacha sitaweza kunywa maji ya moto imenishinda ila nitapunguza
Hii naisikia kwako mama mchungajiYamoto weka ndimu au limao kdg
Na ndevu pia
Nipo Mkuu vipi Hali yako pole ubarikiweKusema ukweli nimemmiss BlessedHope
Nipo dear barikiwaunabadilisha avatar utafikili whatsapmama mchungaji amekusikia atakuja
Ha ha haaYaani Nimeenda Kuchota maji bombani nikakuta wamama kibao wamejazana bombani na ndoo zao kibao Alaf mimi nina haraka zangu
Ikabidi nitumie plan....Nikawaambia Kuna Ng'ombe Amegongwa gari pale barabarani kina mama wenzenu wanagawana nyama
Wote Wakatoka mbio kuelekea huko barabaran sasa badala mimi nichote maji cha ajabu eti na mimi nikakimbia kuwafata maana jinsi walivyokimbia mpaka na mimi nikazani Kuna Nyama Kweli![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
SASA HII NI BANGI AU???
Morning mkuuMorning kapukuz