Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Thanks kwa elimu bro dikteta big up sanaLeo katika Historia:
Sina la ziada niwatakie Jumapili njema na ibada njema.
Thanks kwa elimu bro dikteta big up sanaLeo katika Historia:
Sina la ziada niwatakie Jumapili njema na ibada njema.
Asante mkuuLeo katika Historia:
Sina la ziada niwatakie Jumapili njema na ibada njema.
Thanks MussoLeo katika Historia:
Sina la ziada niwatakie Jumapili njema na ibada njema.
Morning sirMorning mkuu
Asante sanaMorning wakuu nadhan nyote wazima
Furaha yangu ni kuona Blessed karudi
Karibu sana binti mchungaji
Ubarikiwe Mussolin5Leo katika Historia:
Sina la ziada niwatakie Jumapili njema na ibada njema.
Usikimbie tena sasaAsante sana
MiaThanks kwa elimu bro dikteta big up sana
Pamoja bablaiThanks Musso
Amen MkuuUbarikiwe Mussolin5
Twende mkuuLee ukiwa tayar niambie tuanze je WAJUA
chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.
kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha
chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani
kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata
km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost
kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva
ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika
Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho
big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi
kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridgeSafi sana mkuu nimejifunza vitu japo vingi vinahusu mapishiJE WAJUA ?
chumvi ikizidi kwenye wali weka kiazi mviringo katikati kikiwa kimemenywa chumvi itapungua.
kama choo chako, kina harufu, ya mkojo na huna dawa washa kiberiti chooni harufu itakwisha
chukua ganda la limao lichome na vipisi vya karafuu weka kila pembe ya chumba mbu utawasikia kwa jirani
kutoa harufu kwenye wali uliongua weka kipande cha mkaa harufu ya kuungua itakata
km umepika mchuzi upo maji maji yaani mwepesi labda maji yamezidi chukua kiazi kikune na cha kukunia nyanya weka chuzi litakuwa rost
kuivisha maharage faster chukua maji yalochemka tia maharage weka kwenye chupa ya chai funga kesho mimina kwenye sufuria pika nusu saa harage litakuwa lishaiva
ukipika mchuzi vitunguu vikiungua weka sukari kidogo harufu ya kuungua haitasikika
Ukiamaliza kuosha vyombo still wire iweke kweny maji haiharibiki utaendelea kutumia kesho
big g ikiganda kwenye nguo weka kweny friza ikiganda itatoka kirahisi
kuondoa harufu ya uvundo kwenye fridge weka baking soda kwenye kikombe na maji kidogo weka kwenye fridge