Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
na sisi mabonge ndio mnatutenga kakaWewe hujui kitu, mjini supu ya makongoro inaongoxa kwa MAUZO dada

na sisi mabonge ndio mnatutenga kakaWewe hujui kitu, mjini supu ya makongoro inaongoxa kwa MAUZO dada

Shemela acha hizo tabia tutakupotezaacha niache hii ndio tabia yangu
kwani mm sio baby wako mpk unamuulizaKwaiyo mkuu mm nijiteteejee ??
nakuona paw au meloOhooo, kumbe hujui

wasikuhalibie jimbo kaka anguClkey na shunie ni dada zangu kabsaa
JE WAJUA??
Wanawake wanalia kwa wastani wa mara 30 mpaka 64 kwa mwaka wakati wanaume ni wastani wa mara 6 mpaka 17 kwa mwaka
Upunguzeee babyMmh hatari ninavyoyapenda mm
hatuwezi kumdunda ila ajue tu cha mtu sumuMume wa mtu sumu achana nao. Unamjua shunie, clkey watakudunda
mpk nimeogopa hiyo na ya maji baridiShemela acha hizo tabia tutakupoteza
yaan itabidi simu niweke pembeni ya mto mwingineUpunguzeee baby
Hahaa punguza kama huwez kuachampk nimeogopa hiyo na ya maji baridi
MmhNilimanishaaa kwa Clkey ...
![]()
![]()
![]()
![]()
JE WAJUA??
Wimbo wa Justin beiber "BABY" ndio unaongoza kuwa na dislike nyingi You Tube.
Justin Beiber ndio mtu anaye ongoza kwa kutukanwa zaidi mtandaoni.
kuacha sitaweza kunywa maji ya moto imenishinda ila nitapunguzaHahaa punguza kama huwez kuacha
Fanya hivyo shem wangu kwa hr666kuacha sitaweza kunywa maji ya moto imenishinda ila nitapunguza
aisee unataka kunihalibia kwa baby wangu naonaFanya hivyo shem wangu kwa hr666
Lee mtani Wang hawez kumind hata yy huwa ananiibukia kwenye inshu zanguaisee unataka kunihalibia kwa baby wangu naona