Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani Nimeenda Kuchota maji bombani nikakuta wamama kibao wamejazana bombani na ndoo zao kibao Alaf mimi nina haraka zangu

Ikabidi nitumie plan....Nikawaambia Kuna Ng'ombe Amegongwa gari pale barabarani kina mama wenzenu wanagawana nyama
Wote Wakatoka mbio kuelekea huko barabaran sasa badala mimi nichote maji cha ajabu eti na mimi nikakimbia kuwafata maana jinsi walivyokimbia mpaka na mimi nikazani Kuna Nyama Kweli

SASA HII NI BANGI AU???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom