Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Mkuu soma post #3 mwanzo kabisaSijui kapuku ni nani hasa.. wadau mnijuzeni kama mimi ni kapuku au la..maana sielewi elewi
Mkuu soma post #3 mwanzo kabisaSijui kapuku ni nani hasa.. wadau mnijuzeni kama mimi ni kapuku au la..maana sielewi elewi
kwani wao kina nani hapa jf, labda kama angeongea melo mwenyewe lakini wao ni member kama sisi, period!Wala wasitupe tabu kabisa. Tufanye yetu tu
Unajua nini wanajifanya kosa wao wa long kumbe ni pumba tupu.kwani wao kina nani hapa jf, labda kama angeongea melo mwenyewe lakini wao ni member kama sisi, period!
peterchoka unataka kuharibu ndoa yangu...ukomeeeenipo naye hapa...kalala
Karibu sana mkuuTeh teh teh waacheni kama mnawatenga mlitaka wafanyaje? Acha na mimi nikajiunge kapuku's
Mkuu umeeleweka vizuri sanaKama anavyosema UncleBen, hili swala la matabaka siyo geni JF, mifano michache ni:-
- Wanawake over 30 wanavyobaguliwa humu (kwa sasa naona kama imepungua kidogo)
- Single mothers kila siku wanapondwa
- Nyumbu (aka wazungusha mikono) vs Lumumba BK7
- Wagalatia vs Wazee wa milipuko
etc
Hawa Makapuku wameenda next level kutengeneza forum yao, kama hawamtukani mtu mi naona sawa tu.
Mkuu hebu pima mapana (pm) plizWataelewa tu mdogo mdogo..
kwani me naondoka nayo amaizing mbona unakuwa mchoyo hivyopeterchoka unataka kuharibu ndoa yangu...ukomeeee
jambilo piga maombi huyu ashindwe na kukegea
Cc manuu
Why not? Hata Makondakta kaja juzi juzi lakini ameshawapiku wakongwe kibao na sasa hivi anatawala...hata wewe unajiita mkongwe ?
Ameridhia mkuuHahahahah ila kama wewe umeridhika nalo hakuna shida..
Nimeona youngbloodCc
youngblood mimi mwenyewe.
Bitoz
Th Name
Jimena
ibra87
EMMYGUY
Nahrene
jonax
sumbai
damtanzania
Na makapuku wengine kibao njoeni huku.
PotezeeniUmeambiwa kapuku ni kinuka mkojo....
Upoo
Hahaaaabora kapuku anayenuka mkojo kuliko mkubwa anayenuka mdomo ...
sasa kwani hapo tumepungua nini, nilikuwa najua kuwa wao ni vilaza lakini sio kiasi hichoUmeambiwa kapuku ni kinuka mkojo....
Upoo
That's my love