Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kama anavyosema UncleBen, hili swala la matabaka siyo geni JF, mifano michache ni:-

- Wanawake over 30 wanavyobaguliwa humu (kwa sasa naona kama imepungua kidogo)
- Single mothers kila siku wanapondwa
- Nyumbu (aka wazungusha mikono) vs Lumumba BK7
- Wagalatia vs Wazee wa milipuko
etc

Hawa Makapuku wameenda next level kutengeneza forum yao, kama hawamtukani mtu mi naona sawa tu.
Mkuu umeeleweka vizuri sana
 
1b83216cf23fbde395865253fb33c467.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom