lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
Sahv yupo jikoni anapikaNisaidie kumtafuta basi amaizing maana kuna watoto washambawashamba wanataka kuliamsha kiaina..
Sahv yupo jikoni anapikaNisaidie kumtafuta basi amaizing maana kuna watoto washambawashamba wanataka kuliamsha kiaina..
Kabisa na wanasahau kitu kimoja ukiwa Member una kuwa na uhuru wa kufanya vile roho yako inatka huku ndani ili mradi usivunje sheria za JF tu...Ndo maana nimeamua kutowajibu wale mandezi, wanafikiri JF ya kwao pekee yao. Ila nini
#MchezoHuuHautakiHasira
Hapana... Kuwa kimya ni kumpisha mwanaharamu apite....kwann ujipe presha kugombana na watu....tuwapeni ushindi tu tuendelee na yetudunia ya leo kuwa kimya nia aina fulani ya uoga ...
Sweet sweet!Honey wangu
Nashukuru na ukiona shida yeyote usisite kuita hata kwa kelele tutakuja hapo chap..Sahv yupo jikoni anapika
Hatujavunja sheria yoyote humu. Kuna wakongwe humu ni vichwa maji kabisa.Kabisa na wanasahau kitu kimoja ukiwa Member una kuwa na uhuru wa kufanya vile roho yako inatka huku ndani ili mradi usivunje sheria za JF tu...
Ndo maana nimeamua kutowajibu wale mandezi, wanafikiri JF ya kwao pekee yao. Ila nini
#MchezoHuuHautakiHasira
Hawa watu bure kabisa.imegundulika kuwa nyie makapuku mnaongoza kuchukua mashizoo wa wakongweee ...
Asante shemeji!Nashukuru na ukiona shida yeyote usisite kuita hata kwa kelele tutakuja hapo chap..
Did you enjoy our trip to Bagamoyo?Sweet sweet!
Watanyooka tu mdogo mdogo..Hatujavunja sheria yoyote humu. Kuna wakongwe humu ni vichwa maji kabisa.
Mkuu man city saa ngapi.?![]()
Huyu mbona fulimpotezea
Itakuwa hao MBUMBUMBU
Nipo gheto nafurahia ushindi wa Yanga & Man utd
Nakunywa. togwa kwa korosho
Maisha yanataka nini zaidi ?
...............
Ni dalili za kuisoma namba shemeji..Hawa watu bure kabisa.
Halafu mbona kama ni utani tu au kuna zaidi ya hayo?Dah wamemtengenezea kashfa kiaina..Nadhan wanaona soo kuingia chamani watu kama hao wote ni wakupotezewa tu..
Madrid Yanga Man United![]()
Huyu mbona fulimpotezea
Itakuwa hao MBUMBUMBU
Nipo gheto nafurahia ushindi wa Yanga & Man utd
Nakunywa. togwa kwa korosho
Maisha yanataka nini zaidi ?
...............
Kweli mimi pia naonaNi dalili za kuisoma namba shemeji..
Umeeleweka vyema sana mkuu...Hapana... Kuwa kimya ni kumpisha mwanaharamu apite....kwann ujipe presha kugombana na watu....tuwapeni ushindi tu tuendelee na yetu
Yes honey I did. It was amazing!Did you enjoy our trip to Bagamoyo?