Makapuku Forum

Makapuku Forum

Me sioni matabaka, na kila mtu anapewa thamani kulingana na hoja zake, post zake, ukweli wa post zake. Sasa kama wewe kazi yako matusi tu ndani ya forum, kwanini uthaminiwe?
 
YANATOKEA NA YANAWAGUSA WATU.

Huyu mwanamke mzuri katika picha ana ujauzito wa miezi minne, lakini mumewe alifariki kwa ajali ya gari kabla mtoto hajazaliwa, na huku akimwachia mtoto mwingine mdogo.

Siku ya kumbukumbu ya ndoa yake aliamua kupiga picha na kuzitengeneza (photoshop) kuonekana kama bado yupo na mumewe aliyekwishafariki.

Alifanya hivyo ili kukamilisha familia yake na kujipa faraja kama zinavyoonekana hapo chini....Inasikitisha na inaumiza sana, usiombee kufiwa na umpendae.

Mpende sana mpenzi wako uliye nae, rekebisheni tofauti zenu hakuna ajuaye kesho, "life is too short to wake up with regrets."

Muda mwingine unaweza ukakubali ukweli kwamba Dunia haina Usawa!

Kazi yake Mungu haina makosa.

R.I.P
 

Attachments

  • 1460824047004.jpg
    1460824047004.jpg
    15.9 KB · Views: 22
Mwanzoni kabisa nilipojiubga JF niliona kama kuna matabaka, nikaja kugundua hamna matabaka, kama mtu anaongea pumba mda wote watu wata mu ignore

Njoo na kitu interesting, jadili kama mtu ambae akili zipo kichwani
 
Kama anavyosema UncleBen, hili swala la matabaka siyo geni JF, mifano michache ni:-

- Wanawake over 30 wanavyobaguliwa humu (kwa sasa naona kama imepungua kidogo)
- Single mothers kila siku wanapondwa
- Nyumbu (aka wazungusha mikono) vs Lumumba BK7
- Wagalatia vs Wazee wa milipuko
etc

Hawa Makapuku wameenda next level kutengeneza forum yao, kama hawamtukani mtu mi naona sawa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom