Makapuku Forum

Makapuku Forum

6891ae3797302d081b173b34d8367be3.jpg
e5659b86585ee50a72c675e756f7a213.jpg
 
Kwa upande wangu sioni tatizo kwa makapuku kuungana na kufungua thread yao

Kule hawatukani MTU ni kuchati na kupeana ushauri wa maisha ..

Na member yoyote haijalishi ni junior member au senior anaruhusiwa kuchangia Kule...

Hivyo kusema kuwa makapuku wamejitenga sio kweliiiii.....
Karibun kapuku forum

NB...sio wote walioko kapuku forum ni watoto kama baadhi ya members wanavyodai..wengine tupo kule kwa ajil ya stories na kuondoa stress....
 
Kuna uzi kule unaitwa wa mwisho ni mshindi nilikua nauona kama uzi uliovunja rekodi lakini huu wa makapuku forum ni sheeda ule unasomeka 11k wakati wa makapuku unasomeka 12k tunaongoza kwa kila kitu huku jf tunatisha sana aisee safi sana makapuku forum
Washaanza kutia fitna huko..watakufa na chuki.zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom