Makapuku Forum

Makapuku Forum

dcd31a428f79b9a6116b02857565e7eb.jpg
 
hii list ya majina naiona sana kwenye MMU FORUM,itakuwa mmevamia mademu wa wakongwe na mmepigwa vya mbavu,mnalilia mnaonewa
Sikujua kama kuna mademu wa wakongwe.na kuwa Mkongwe ni vigezo gani vimetumika? Pili mbona ata huko kwa makapuku naona yale yale full kujuana na kadharika. Tuwe wamoja tu maana wengine humu ata mtu 1 hatumjui.
 
Kama anavyosema UncleBen, hili swala la matabaka siyo geni JF, mifano michache ni:-

- Wanawake over 30 wanavyobaguliwa humu (kwa sasa naona kama imepungua kidogo)
- Single mothers kila siku wanapondwa
- Nyumbu (aka wazungusha mikono) vs Lumumba BK7
- Wagalatia vs Wazee wa milipuko
etc

Hawa Makapuku wameenda next level kutengeneza forum yao, kama hawamtukani mtu mi naona sawa tu.
Ni kweli makapuku hawajatukana mtu ,ila pitia huu uzi uone wanajiita wakongwe wanachosema ,kuna mmoja kasema makapuku ni wanuka mkojo sijui ,wakati kule kwenye forum ya makapuku sijaona sehemu wametukana mtu ,
 
Nafikiri hawana hoja ya msingi zaidi ya kutaka kuonekana pasipo kuwa na kitu chochote cha maana....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom