amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,398
Poa sana...Nzuri... Habari za mishe
Poa sana...Nzuri... Habari za mishe
kwani kuomba dhambi mkuuEeeeee peter sio vizuri ivyo lakini..
Kwakwel nimepitia ule Uzi...sio fair kabisaUmeambiwa kapuku ni kinuka mkojo....
Upoo
Shem nimerudiWanashauriana na ma mtumishi tulia kijana
Kamuombe mwenye Mali.. Mmilikikwani kuomba dhambi mkuu
Sikujua kama kuna mademu wa wakongwe.na kuwa Mkongwe ni vigezo gani vimetumika? Pili mbona ata huko kwa makapuku naona yale yale full kujuana na kadharika. Tuwe wamoja tu maana wengine humu ata mtu 1 hatumjui.hii list ya majina naiona sana kwenye MMU FORUM,itakuwa mmevamia mademu wa wakongwe na mmepigwa vya mbavu,mnalilia mnaonewa
Relax shemeji yangu Hayo mbona ya kawaida sana humuKwakwel nimepitia ule Uzi...sio fair kabisa
Yan wamenikeraaaaa...
Ni kweli makapuku hawajatukana mtu ,ila pitia huu uzi uone wanajiita wakongwe wanachosema ,kuna mmoja kasema makapuku ni wanuka mkojo sijui ,wakati kule kwenye forum ya makapuku sijaona sehemu wametukana mtu ,Kama anavyosema UncleBen, hili swala la matabaka siyo geni JF, mifano michache ni:-
- Wanawake over 30 wanavyobaguliwa humu (kwa sasa naona kama imepungua kidogo)
- Single mothers kila siku wanapondwa
- Nyumbu (aka wazungusha mikono) vs Lumumba BK7
- Wagalatia vs Wazee wa milipuko
etc
Hawa Makapuku wameenda next level kutengeneza forum yao, kama hawamtukani mtu mi naona sawa tu.
Karibu mselaaawozaaah!!
Nimerudi tena masela.....!!!!
Ulienda kuvuta yale mambo yako nin mkuu?wozaaah!!
Nimerudi tena masela.....!!!!
Mengi tutayaongelea chumbani
Ooh karibu sana shemShem nimerudi
Mpe tu kadri uwezavyo mkuuUnataka ngapi Mkuu?
Pokea hizi![]()
![]()
![]()
Okay honeyMengi tutayaongelea chumbani
Aisee hukunitaja..Cc
youngblood mimi mwenyewe.
Bitoz
Th Name
Jimena
ibra87
EMMYGUY
Nahrene
jonax
sumbai
damtanzania
Na makapuku wengine kibao njoeni huku.
Atakua hajasoma post #3, ndo yale mambo ya kidandia treni kwa mbeleMuanzisha mada kwanza ni kapuku.. Kajiunga mwaka jana tu