Makapuku Forum

Makapuku Forum

ce3ef2d5dfa38c944ae9709b3ce2a766.jpg
 
Mkuu jione mwenyewe....
Mkuu usiumize kichwa bure jamii forum ndivyo ilivyo ,matabaka hayakosekani kama tu kwenye maisha mengine ya kawaida ,ukikutana na mtu kakutukana ,mtukane tu ,vinginevyo kuwa mpole umpe shavu la pili akupige kibao ,
Principle yangu ni simple tu ,utavyokuja ndio nitakavyo kupokea sio pungufu ya hapo wala zaidi ya hapo
Unijie kwa matusi utegemee mimi nitakua na hekima za kipumbavu za mbuni kuficha kichwa mchangani kiwiliwili kipo nje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom