Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Waroman kuua tu ilikuwa ni kawaida.Roma nuks
Waroman kuua tu ilikuwa ni kawaida.Roma nuks
Ndio umezaliwa leo nin!?Birthday kwa watu wawili tu??? Mh!!!![]()
Kikofia unasema ile Mad Max furry eeh?!!Mimi movie zangu bora kabisa zilizotoka mwaka uliopita(2015) ni Kingsman & Mad max
R.I.P mbele yake nyuma yetuKweli ni black September, Shimoni Peres ameaga Dunia
Koma wee... Funga bakuli lako hilo.. Kiaz cha mbez msuguri weeMwezi ambao Simba ufungwafungwa na Yanga
Ungeongezea tu na kifo cha Simba
![]()
![]()
![]()
.........
Sio kaumafia.. Ni umafia uliobaleheItakua tu alinyamazishwa mana roma nako kuna kaumafia
No, a family memberNdio umezaliwa leo nin!?
Hata mie najiulza.. Cpat jibu kamiliHiyo 9 na 10 hapo sijaangalia bado afu sijui haya mauzo yanatokana na nini hasa mana kuna movie nyingi tu kali zaidi hizo lakin hazimo kwenye hiyo list ya mauzo
Kuna pesa iliibiwa katika benki ya Vatican, kilikuwa ni kiasi kikubwa sana. Na ukumbuke Papa kabla ya kuteuliwa aligoma kushika wadhifa huo, hivyo basi kuna madudu mengi yaliyokuwa yanaendelea aliyafahamu, na alipokubali kuteuliwa kuwa papa alidumu kwa siku 33 kabla ya mauti kumfika.Alinyamazishwa na nani na kwa sababu zipi?
Septemba ni galasa
We mkushi unavutaga kushi?Haaaahaaaa makaveliKoma wee... Funga bakuli lako hilo.. Kiaz cha mbez msuguri wee
EenheeKulitokea wizi mkubwa sana wa Pesa katika benki ya Vatican.
Huyu nae ataishia kama Michael Jackson
Mamaa Idrisa1988 - WEMA SEPETU anazaliwa.
Ni miss Tanzania wa zamani na msanii wa filamu toka nchini Tanzania.
Naamin tunakubalianaSjui why nakukubali sana makavel10
Gepu linaongezeka siku baada ya sikuMwaka 1953 nchi za bara la Asia kama China,, Thailand na Philippines tulikuwa tumelingana nao kiuchumi.
Ila ona sasa walivyotuacha mbali
![]()
![]()
![]()
![]()

Funua zaid brohNa yule mhasibu Robart kavi alikuwa anahusika nafikiri, maana yeye walimuua akiwa London, maana alitoroka kwa siri kutoka Italy mpaka Uingereza