Makapuku Forum

Makapuku Forum

Alinyamazishwa na nani na kwa sababu zipi?
Kuna pesa iliibiwa katika benki ya Vatican, kilikuwa ni kiasi kikubwa sana. Na ukumbuke Papa kabla ya kuteuliwa aligoma kushika wadhifa huo, hivyo basi kuna madudu mengi yaliyokuwa yanaendelea aliyafahamu, na alipokubali kuteuliwa kuwa papa alidumu kwa siku 33 kabla ya mauti kumfika.

Kuna wanaoamini alilishwa sumu iliyomuua taratibu. Inabaki kuwa nadharia tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom