Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
Itakuwa ngumuWewe songa mbele tu, usigeuke nyuma utakuwa Nguzo ya chumvi kama lipulipu
Itakuwa ngumuWewe songa mbele tu, usigeuke nyuma utakuwa Nguzo ya chumvi kama lipulipu
1996 - Rais wa zamani wa wa Afghanstan anakamtwa na kuteswa baadae anauliwa na kikundi cha kigaidi cha Taleban.
1977 - Young Jeezy anazaliwa.
Ni rapa wa muziki wa Hiphop toka nchini Marekani.
Alitamba na kibao chake cha " My president is black " alichomwimbia Obama mwaka 2008
Asante sana kwa leo katika historia Mkuu mussolinLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Magufuli, tukutane tena kesho.
Ngoja waje wakujibuSWALI: Nasikia mbu ana matiti ni kweli?
.........
Leo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Magufuli, tukutane tena kesho.
Jonax Puli Marazote1984 - Mathieu avalbuena anazaliwa.
Ni kiungo wa kati wa ambaye alicheza Marseille, Olympic Lyon na timu taifa ya Ufaransa.
Anasifika kwa umakini wake akiwa uwanjani, pia ni miongoni mwa wachezaji wafupi sana katika soka.
1951 - Kituo cha matangazo ya luninga cha CBS chatengeneza luninga za kwanza za rangi na kuziuza huko Marekani
1978 - Papa John Paulo wa Kwanza anafariki.
Ni papa aliyedumu kwa siku 33 tu.
Ni papa aliyetokea Nchini Italy.
Kabla ya kuchaguliwa kuwa Papa alikataa kabisa kudhika wadhifa huo, hivyo alilazimishwa.
Alijulikana kama " The smiling pope "
Kifo chake kinabaki kama moja ya vifo tata kuwahi kutokea Duniani.
Japo ripoti zinasema alikufa kwa ugonjwa wa moyo, lakini kuna wanaoamini Papa alinyamazishwa.
Pamoja mkuuAsante sana kwa leo katika historia Mkuu mussolin
Kwa udhamini wa Jidula petro Mabambasi
Hatari sana
HahahahaJonax Puli Marazote
Hata Joti mrefu...
1989 - Ferdinand Marcos anafariki.
Alikuwa ni Rais wa 10 wa nchi ya Ufilipino.
Aksante mama laoView attachment 408088View attachment 408089View attachment 408091
Kutoka katika uchambuzi wa magazeti sina la ziada
Asante sana briz kwa kusababisha asubuhi ya Leo
Naitwa Jimena Jimenes
Ciao