Makapuku Forum

Makapuku Forum

1978 - Papa John Paulo wa Kwanza anafariki.

Ni papa aliyedumu kwa siku 33 tu.
Ni papa aliyetokea Nchini Italy.

Kabla ya kuchaguliwa kuwa Papa alikataa kabisa kudhika wadhifa huo, hivyo alilazimishwa.

Alijulikana kama " The smiling pope "

Kifo chake kinabaki kama moja ya vifo tata kuwahi kutokea Duniani.

Japo ripoti zinasema alikufa kwa ugonjwa wa moyo, lakini kuna wanaoamini Papa alinyamazishwa.
Itakua tu alinyamazishwa mana roma nako kuna kaumafia
 
Je Wajua?
MUVI 10 ZILIZOUZWA ZAIDI DUNIANI
1-AVATAR(2009)
2-TITANIC(1997)
3-MARVEL'S THE AVENGERS(2012)
4-HARRY POTTER AND THE DEATHLY HALLOWS(2011)
5-TRANSFORMERS;dark of the MOON(2011)

6-THE LORD OF RINGS:Return of the KING(2003).
7-SKYFALL(2012).
8-THE DARK KNIGHT RISES(2012).
9-PIRRATES OF CALLIBBEAN;dead Man's CHEST(2006)
10-TOY STORY(2010)-part 3.
@
The Book wa Makapuku.
kama zipo mseme nifute!!
Asante sana The book
 
Je Wajua?
MUVI 10 ZILIZOUZWA ZAIDI DUNIANI
1-AVATAR(2009)
2-TITANIC(1997)
3-MARVEL'S THE AVENGERS(2012)
4-HARRY POTTER AND THE DEATHLY HALLOWS(2011)
5-TRANSFORMERS;dark of the MOON(2011)

6-THE LORD OF RINGS:Return of the KING(2003).
7-SKYFALL(2012).
8-THE DARK KNIGHT RISES(2012).
9-PIRRATES OF CALLIBBEAN;dead Man's CHEST(2006)
10-TOY STORY(2010)-part 3.
@
The Book wa Makapuku.
kama zipo mseme nifute!!
Hiyo 9 na 10 hapo sijaangalia bado afu sijui haya mauzo yanatokana na nini hasa mana kuna movie nyingi tu kali zaidi hizo lakin hazimo kwenye hiyo list ya mauzo
 
1978 - Papa John Paulo wa Kwanza anafariki.

Ni papa aliyedumu kwa siku 33 tu.
Ni papa aliyetokea Nchini Italy.

Kabla ya kuchaguliwa kuwa Papa alikataa kabisa kudhika wadhifa huo, hivyo alilazimishwa.

Alijulikana kama " The smiling pope "

Kifo chake kinabaki kama moja ya vifo tata kuwahi kutokea Duniani.

Japo ripoti zinasema alikufa kwa ugonjwa wa moyo, lakini kuna wanaoamini Papa alinyamazishwa.
Alinyamazishwa na nani na kwa sababu zipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom