makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,995
- 104,509
Upuuzi tuuHili jina Kuna watu linawaumiza sana
Upuuzi tuuHili jina Kuna watu linawaumiza sana
Teh teh teh...Ntalipata wapi sasa kwa mfano?
Akitoka huyo anafuata Shaqir wa stoke city after that Anafuata anduje wa BarcelonaUrefu wake upo kwenye akili yake akiwa dimbani

Duh!!! Ila sio ishu wala nin!!No, a family member
Itakuwa ni "Ulindi na ulimbombo" yani moto lazima uwakeJonax mpigapuli marazote, si mtu wa mchezo mchezo..
Kaishazoea mikono yake migumu ile kwa kupigia zege na kupalilia majaruba ya mpunga.. Unadhan akikutana na kitu lain nin kinafuata..![]()
![]()
![]()
![]()

Mtoto mshenz sana huyu..Haaaahaaaa makaveli
Maajabu sanaSie ndio kwanza tumezindua ndege leo
pia kuna Aron LennonAkitoka huyo anafuata Shaqir wa stoke city after that Anafuata anduje wa Barcelona
![]()
![]()
![]()
![]()
Nchi ya masinemaMaajabu sana
Hiv ndege ndio hamna kupanda bure kweli!!??Sie ndio kwanza tumezindua ndege leo
Ofcz alikuwa ananiburudsha..Urefu wake upo kwenye akili yake akiwa dimbani
Kuna offer one-way to MadagascarHiv ndege ndio hamna kupanda bure kweli!!??

Shule bure na ndege unataka bureHiv ndege ndio hamna kupanda bure kweli!!??

Itachukua siku nzima, Bila moto kuwakaItakuwa ni "Ulindi na ulimbombo" yani moto lazima uwake
![]()
![]()
![]()
![]()
Sitakag hata kuifkiria bongo.. Machungu yake ni aher ya kmwagwa na dem siku ya ndoa..Yani tumepigwa la kushiba
Swali: kwanini Tz tumewahi kupata uhuru kabla ya Kenya lakini wametupita kiuchumi?
Ukipata jibu hapo uje sasa kuji-compare South Africa
mipira iliyokufaOfcz alikuwa ananiburudsha..
Mzur wa kona na free kicks
Sawa baba, mambi vip lknNaamin tunakubaliana![]()
![]()
Hata mimi nakukubali kichiz mwanangu Quigley
Wacko jacko hakuwahi chuja..Huyu nae ataishia kama Michael Jackson
Ewaa ni wafupi lakini wanapiga mpira wa maanapia kuna Aron Lennon