Makapuku Forum

Makapuku Forum

*NUKUU YA LEO......*

```mwanaume asiye na mchepuko ni sawa na taifa lisilokuwa na chama cha upinzani ......```

na _mwanamke kuwa na mchepuko ni sawa na taifa kuwa na kikundi cha waasi kinachoendesha vita ya wenyewe kwa wenyewe_
 
Kuangalia mechi za man u na watoto ni shida.

Mtoto : baba Leo wanaocheza akina nani ??
Baba : man united na Watford.
Mtoto: oyooo .
Baba : we umeipenda timu
Mtoto: timu ya fally ipupa.
Baba : kwa hasira , timu ya fally ipupa iko wapi??
Moto : nimemuona dancer wao kaweka nywele dawa.
Baba : daah hili toto huyo ni pogba.
Mtoto : kwa hiyo kaacha mziiki??

Baba kwa hasira akazima TV.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom