Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU NO 3#

Nasikia baadhi ya viongozi huko mikoani wanagombania nyumba na magari
Mambo hayo sio muhimu. Viongozi watafanya vizuri wakigombana kuhusu maendeleo ya wanavijiji. Huo ni ugomvi mtakatifu, sawa na mwananchi anayeiba mbolea na kuitumia katika shamba lake

Maneno haya yalipata kutamkwa na waziri mkuu wa zamani wa Tanzania
Edward Moringe Sokoine, October 1982 akiwa Arusha kama mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM.
Sokoine alizaliwa Agosti Mosi, 1938. Na alifariki Dunia kwa ajali ya gari akitokea Dodoma April 12,1984
1474263982763.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom