Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Hekima kwanza inatoka kwa Mungu ni kama talanta...mtu ana kuwa na akili ya kugundua mambo haraka zaidi kwa utashi wa hali ya juu...wakati mwingine hata mtu anataka kukufanyia hila unagundua na pia mtu mwenye hekima huwa anaongea mambo possitive tu wakati wote hana hiana. Hii ni kwa jinsi mimi navyoelewa maana ya neno HekimaHEKIMA
Family naomba maana ya neno hekima
Cc bitoz
Jimena
Musilin5
Billy5
Shululu
Sweetie
Na wengineo
Hawezi kuweka, hajazoea kutumia kwa utaratibu na kufuata sheriaNdio!! aweke Strategic plans zake mezani...watu tutamsupport....maneno mengi hayatoshi
CIA wazee wa kazi1947 - Shirika la Ujasusi la Nchini Marekani ( C.I.A ) Laanzishwa.
Ni moja kati ya vyombo hodari vya usalama katika Dunia hii.
Makao makuu ya CIA yapo huko Langley, Virginia. Ambapo ina wafanyakzi takribani 40,000 Duniani kote. Kati ya hao wanaojulikana ni 22,000 tu.
Pamoja na Operesheni kabambe walizowahi kufanya, Pia CIA imekuwa ikilaumiwa kutokana na kuhusika katika mauaji ya baadhi ya viongozi mbalimbali Duniani hasa kwa Nchi za Amerika ya Kusini na Afrika ambao huwa na mlengo wa kushoto.
Sisi huwa hatutaki masiharaJana baada ya kukosa usingizi nikakumbuka maneno ya wahenga alalae usimuamshe ukimuamsha utalala wewe, nikaenda zangu kwenye kambi ya jeshi nikakuta wanajeshi wawili wamelala nikawamwagia maji ,,sasa ivi niko zangu muhimbili nimelala sina tatizo na mtu...
No doubt Marekani waliangukia pua1964 - Jeshi la Vietnam Kaskazini lavamia Vietnam Ya Kusini na kuanza kuwashambulia katika kile kilichokuja kujulikana kama Vita ya Vietnam.
Ambapo Vietnam ya Kaskazini walikuja kusaidiwa na Marekani wakati Vietnam ya Kusini walisaidiwa na Urusi.
Vita hiyo Maarufu ya miaka ya 1960s ilipigwa katika misitu minene sana ya Vietnam hali iliyowafanya Wamarekani kushindwa vibaya sana!!
Asante kwa ufafanuzi muruaHekima kwanza inatoka kwa Mungu ni kama talanta...mtu ana kuwa na akili ya kugundua mambo haraka zaidi kwa utashi wa hali ya juu...wakati mwingine hata mtu anataka kukufanyia hila unagundua na pia mtu mwenye hekima huwa anaongea mambo possitive tu wakati wote hana hiana. Hii ni kwa jinsi mimi navyoelewa maana ya neno Hekima
HEKIMAHekima kwanza inatoka kwa Mungu ni kama talanta...mtu ana kuwa na akili ya kugundua mambo haraka zaidi kwa utashi wa hali ya juu...wakati mwingine hata mtu anataka kukufanyia hila unagundua na pia mtu mwenye hekima huwa anaongea mambo possitive tu wakati wote hana hiana. Hii ni kwa jinsi mimi navyoelewa maana ya neno Hekima
Ila muda mwingine mnaonea watu tu?Sisi huwa hatutaki masihara
Ma Genius hao1945 - John McAfee anazaliwa.
Ni mtaalam wa Program za Computer kutoka nchini Marekani.
Ndio mwanzilishi wa McAfee
Jiko la will smith hilo1971 - Jada Pinkett Smith anazaliwa.
Ni muigizaji toka Hollywood nchini Marekani.
Naona kaacha mziki1974 - Xzibit anazaliwa.
Ni rapa toka nchini Marekani.
Asante mwenyekitiLeo Katika Historia:
Sina la ziada, tukutane tena kesho kwa Udhamini mnono wa Kevin De Bruyne!
Jumapili njema Wakuu.
Wewe ndio mweka hazina kweli eheeeAsante mwenyekiti
Asante sana dikteta....udhamini wa leo nimeupendaLeo Katika Historia:
Sina la ziada, tukutane tena kesho kwa Udhamini mnono wa Kevin De Bruyne!
Jumapili njema Wakuu.
Sio mi mwanahabari....Wewe ndio mweka hazina kweli eheee
Hatari aiseeHawezi kuweka, hajazoea kutumia kwa utaratibu na kufuata sheria
Yeye akiamua kufanya anafanya bila kujali chombo gani kinahusika na hii kazi au fedha
Kifupi yeye ndio Rais, waziri wa fedha yeye, mipango yeye, miundombinu yeye na mambo ya ndani yeye
Sasa hapo tusemeje?
Pia umeongezea vema sana Shululu, thanksAsante kwa ufafanuzi murua
Kingine huwa hawana makuu popote pale, hajali anakaa wapi, anakula nini anaongea na nani
Salama tu....karibu shemKwema jamani, habari ya wikend??
Nzuri.....habar za hukooHabari za mchana wa jumapili ndugu zangu...