sacajo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 1,385
- 4,493
Haha kile kibabu chenu kuna siku walikionyesha nyumbani kwake kina makochi mekundunikajua kinaikubali simba kimyakinya
![]()
kweli kabisa mkuuHaha kile kibabu chenu kuna siku walikionyesha nyumbani kwake kina makochi mekundunikajua kinaikubali simba kimyakinya
![]()
kweli kabisa mkuuTena unaa uliokubuhu..huo ni unaa, kila siku za simba tu ndo inakua shida?

Sawa nimekuelewa....sitorudia tenaaNext kuwa makini...mjeda lazma awe alerted na ishu yoyote wakati wowote....usije ukajiharibia kazi![]()
Hivi ndg zako wa karibu kule bukoba wamesalimika au simu zao hazipatikani?

Sawa kabisa ankaliNukuu ya leo nitaileta saa nne, nimebanwa sana kwa sasa
Nakuaje mtakatifu sasa? mbona sikuelewi labda unambie kwanini unasema mimi ni mtakatifu maana nachofahamu hapa Duniani hakuna mtakatifu hata mmoja "maandika yanasema "wote wametenda dhambi wote wameoza" ila tu binadamu tunajaribu kufanya mambo yanayompendeza Mungu na kuomba atusamehe pale tunapokuwa tumeanguka dhambini. Ila mtakatifu Duniani hayupo OvaJmn unamkana Bwana hadharani!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Maisha yenyewe hayaeleweki haya, usipofurahi leo unategema kufurah lini..Lazma uipende cos unapenda sana kucheka my love...![]()
Aaaaah basi tuKwanini
Hata hivyo inabidi tutii mamlakaWoga nao ni dhambi muache atoe ya moyoni

Nanyi mtakuwa watakatifu kama baba yenu alivyomtakatifuNakuaje mtakatifu sasa? mbona sikuelewi labda unambie kwanini unasema mimi ni mtakatifu maana nachofahamu hapa Duniani hakuna mtakatifu hata mmoja "maandika yanasema "wote wametenda dhambi wote wameoza" ila tu binadamu tunajaribu kufanya mambo yanayompendeza Mungu na kuomba atusamehe pale tunapokuwa tumeanguka dhambini. Ila mtakatifu Duniani hayupo Ova
Timua huyo.. Hafai, kazi imemshinda.. Anapiga soga km mh. msogaJana kingongo kaingia humu ulikuwa wapi?!!..kazi imekushinda unaacha acha geti wazi humu.
Uko right sema haya mambo yatapita tu na tutazoea pia Mungu yupo atatusaidia.Maisha yenyewe hayaeleweki haya, usipofurahi leo unategema kufurah lini..
Kesho unaweza kuskia mzee wa kukurupuka akakurupuka, vdume wote wapige sket, sasa mtoto wa kiume utakuwa na furaha tena..
Nzuri tu kapuku mwenzanguPlease mi ni kapuku....sijambo za mida?
Wanaachaje kwa mfano...!!Mzigo wenyewe umenyanyuka hivyo unategemea watauachia. Too sad![]()
Hata kukosoa ni utii kwa taifaHata hivyo inabidi tutii mamlaka![]()
![]()
![]()
Ilipaswa tuwe watakatifu na ndio ilikuwa nia ya Muumba tangu mwanzo wa uumbaji... lakini ndio hvyo tena wakati mwingine tunaenda kinyume na maandiko dhambi imekithiri kila kona sasa hivi hata kuongea na Mungu kama zamani vile manabii wanasikia sauti yake na ishara zake haiwezekani..dhambi zimeuficha uso wa bwana.Nanyi mtakuwa watakatifu kama baba yenu alivyomtakatifu
Hhmm.. Usitegemee sana kuwa na kesho nzur, wakat, juzi,jana na leo ubaya umeongezeka.. Atleat ingekuwa kuna utofaut wa afadhal tokea juzi.. Ila ni shida zinazid kila uchwao.Huu ni mpito tu sweet hali itakuwa shwari mwaka ujao.
Timua huyo.. Hafai, kazi imemshinda.. Anapiga soga km mh. msoga
Naona hunitakii mema kwenye kibarua changu.........ila Naona una maneno ya uchoziKwenye ubora wenuAkchuale Mulokozi ilikuwa afariki akiwa ndani ya V8 yake iliyokuwa full tank ila akapata msamaha kwa kuwa wakati wa tetemeko alikuwa ameenda kumpokea Byarugaba uwanja wa ndege tokea UK alikoenda kupumzika baada ya kuhitimu Masters yake ya sheria huko Harvard!
Toto lina nongwa hiloo.. We lione hivyo hivyo tuuOk poa.. Afu mbona hujawataja hapo kwenye timu kubwa?
Cc Mussolin5