Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,266
Tresss kuanzia janaKumbe yote yanayoendelea humu ni serious hakuna mzaha wakati mwingine? sikufahamu.
Tresss kuanzia janaKumbe yote yanayoendelea humu ni serious hakuna mzaha wakati mwingine? sikufahamu.
Nakuaje mtakatifu sasa? mbona sikuelewi labda unambie kwanini unasema mimi ni mtakatifu maana nachofahamu hapa Duniani hakuna mtakatifu hata mmoja "maandika yanasema "wote wametenda dhambi wote wameoza" ila tu binadamu tunajaribu kufanya mambo yanayompendeza Mungu na kuomba atusamehe pale tunapokuwa tumeanguka dhambini. Ila mtakatifu Duniani hayupo Ova

Labda kama kuanzia jana hapo ntaamini ila nyuma mzaha mbona ulikuwepo.Tresss kuanzia jana
InshaAllahUko right sema haya mambo yatapita tu na tutazoea pia Mungu yupo atatusaidia.
Uko vizur kwenye sekta hii..Ilipaswa tuwe watakatifu na ndio ilikuwa nia ya Muumba tangu mwanzo wa uumbaji... lakini ndio hvyo tena wakati mwingine tunaenda kinyume na maandiko dhambi imekithiri kila kona sasa hivi hata kuongea na Mungu kama zamani vile manabii wanasikia sauti yake na ishara zake haiwezekani..dhambi zimeuficha uso wa bwana.
Thanks and i am proud of you too dear husband.InshaAllah
Proud of u wife..

Ndio hivyo.....Kumbe yote yanayoendelea humu ni serious hakuna mzaha wakati mwingine? sikufahamu.

Askari, unanipa visingizio gani..Sio hvyo mkuu.......uchovu wa depo ndio umepelekea hivyo
.. Haya shona.. Chini..... Juuu, chinii.. Juuuuu... Juuuuuuu

SacajoNdio hivyo.....![]()
![]()
![]()
....niachie hili vumbi na Kigli.Wakat mwingine inabidi upitie maandiko kwa ishu kama hizi zikijitokeza upate ya kujibu.Uko vizur kwenye sekta hii..
Tulia bwamdogo...![]()
![]()
Naona hunitakii mema kwenye kibarua changu.........ila Naona una maneno ya uchozi
Yatupasa kupanga mikakati kabambe ya kutatua haya matatzo.Inapaswa tufikirie sana maana hali si shwari kwakweli.
Ohooo, shikamoo mapenziThanks and i am proud of you too dear husband.![]()

Na nimepanga nikirudi.. Ntakuleta zawadi, iwe dhahabu au rubi utaikuta kwa mama ...............jiThanks and i am proud of you too dear husband.![]()

Sure.. Huwez kuwa dunian upo upo tu.Wakat mwingine inabidi upitie maandiko kwa ishu kama hizi zikijitokeza upate ya kujibu.
I will be happy...zawadi yoyote itakayotoka kwako itakuwa nzuri tu. Mama mzima lakin?Na nimepanga nikirudi.. Ntakuleta zawadi, iwe dhahabu au rubi utaikuta kwa mama ...............ji
![]()
![]()
![]()
Umeongea point inabidi tuanze kuandaa strategic plans ASAPYatupasa kupanga mikakati kabambe ya kutatua haya matatzo.