Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ilipaswa tuwe watakatifu na ndio ilikuwa nia ya Muumba tangu mwanzo wa uumbaji... lakini ndio hvyo tena wakati mwingine tunaenda kinyume na maandiko dhambi imekithiri kila kona sasa hivi hata kuongea na Mungu kama zamani vile manabii wanasikia sauti yake na ishara zake haiwezekani..dhambi zimeuficha uso wa bwana.
Inawezekana kuanza upya, mimi naanza sasa
 
Nakuaje mtakatifu sasa? mbona sikuelewi labda unambie kwanini unasema mimi ni mtakatifu maana nachofahamu hapa Duniani hakuna mtakatifu hata mmoja "maandika yanasema "wote wametenda dhambi wote wameoza" ila tu binadamu tunajaribu kufanya mambo yanayompendeza Mungu na kuomba atusamehe pale tunapokuwa tumeanguka dhambini. Ila mtakatifu Duniani hayupo Ova
Nakuhitaji ukasomee usista
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom