Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Nimeshamleta shem wangu...very safely.Mamboz shem, hivi hujaonana na pacha wako? Mara ya mwisho tumeonana asubuhi afu sijamtia tena machoni mpaka sasa
Nimeshamleta shem wangu...very safely.Mamboz shem, hivi hujaonana na pacha wako? Mara ya mwisho tumeonana asubuhi afu sijamtia tena machoni mpaka sasa
Muda bila ya kuudhibiti ni kuupoteza muda..Mambo aje makapuku wenzangu ndani ya nyumba??? Hope every thing is banging pamoja na ukweli kwamba hali ni mbayaaaa hela imebanana!!!!
Balimi ndogo haziendi kabisaaa. Ngoja tuendelee kutoa muda! Viongozi wanasema "tumpe muda"
Lazma uipende cos unapenda sana kucheka my love...![]()
![]()
![]()
Nimeipenda hii


Nazitafutaga lakini hazipatikani huwa hawapost kwenye akaunti yaoDaaah fanya kuzitafuta mkuu
Nimekuelewa ila lile neno cjui kuliwa nini...ndo limenishtua ci wajua vjazoea kusikia hiv toka kwako!Mbona kawaida tu...nilikuwa najaribu kucomment kuhusu yule mdada tu wala hakuna tatizo niko sawa tu.
Mkuu nani muongo sasa?????Uongo sawa na uchawi,,,kuuthibitisha ni kazi
Jana kingongo kaingia humu ulikuwa wapi?!!..kazi imekushinda unaacha acha geti wazi humu.![]()
sasa naona umeanza kuvuka mipaka.....au hujui kama me ndio mlinzi wa kuzuia vingongo
![]()
![]()
![]()
Time will tellNi jambo la kushukuru, Mungu atuepushe na majanga kwani hatutasaidika kwani serikali inabana matumizi,
Cc wanabukoba
Mzigo wenyewe umenyanyuka hivyo unategemea watauachia. Too sadTeh teh teh.. Tena wazungu walivyo viazi.. Watakuwa walikula sana shimo la marinda maskini..![]()
![]()
![]()
![]()

Haha Ok sasa hiyo siri itakusaidiaje labda kwenye hiyo adhma yako?Kisheria sijawaambia bado! Hii ni siri ya watu wawili na karani aliyechapisha siri hii!
Yap nimefurahi sana kumuonaShem lake...niko poa, umeshamuona Wife eeh? nilimwambia aje.
Naona anajaribu kujiteteahuo ni unaa, kila siku za simba tu ndo inakua shida?
Huu ni mpito tu sweet hali itakuwa shwari mwaka ujao.Time will tell
Now tunaishi kama vipofu hatujui hatua inayofata itatua juu ya nini, kinyesi, tope, lami,sakafu, au zuria jekundu..
Akchuale Mulokozi ilikuwa afariki akiwa ndani ya V8 yake iliyokuwa full tank ila akapata msamaha kwa kuwa wakati wa tetemeko alikuwa ameenda kumpokea Byarugaba uwanja wa ndege tokea UK alikoenda kupumzika baada ya kuhitimu Masters yake ya sheria huko Harvard!Hivi ndg zako wa karibu kule bukoba wamesalimika au simu zao hazipatikani?
Marhaba.....jambo mkuu sweetiepie??Shikamoo mjeda
Ok poa.. Afu mbona hujawataja hapo kwenye timu kubwa?Akaunti yao hawapost picha hata wacheze mechi.....ninazo akaunti za timu zote kubwa Bongo kuanzia Azam,Mbeya City,Ndanda n.k
.........


Bitoz anajaribu kubisha.....hebu jaribu kunisaidia ili aeleweNan anabisha wewe ni kamanda bhaana!!
Hakika umenena, na ukileta fyoko fyoko mtukufu akipigiwa cm hatujui ndani ya dkk 5 nin kitakuwa kimetokeaTime will tell
Now tunaishi kama vipofu hatujui hatua inayofata itatua juu ya nini, kinyesi, tope, lami,sakafu, au zuria jekundu..