Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nani amewaloga wanasiasa wa tz?
Wanataka matajiri waishi km mashetani..yakija majanga wanawapigia hao hao matajiri magoti wapewe pesa.
Wanataka mshikamano lakini hawataki suluhu na wapinzani
Wanakataa misada ya wapinzani,
Wanawaziba midomo wanaowakosoa.
Duuuh nimetokea kuwapuuza hawa watu
Madaraka bila ya busara, ni shida mkuu.
 
Duh! Sasa huo utakua ni upuuzi, afu hili tetemeko limetoa taswira pengine hata hata yale makusanyo ya tra tunayoambiwa yamevuka malengo labda ni taarifa iliyopikwa tu
Mbaya zaidi waliotoa zile fedha za misaada ni wafanya biashara hao hao ambao wamewabana mwaka huu....Mungu anawaonyesha kwamba riziki ya mtu haizuiliwi na yeyote yule hata iweje.
 
Mambo aje makapuku wenzangu ndani ya nyumba??? Hope every thing is banging pamoja na ukweli kwamba hali ni mbayaaaa hela imebanana!!!!
Balimi ndogo haziendi kabisaaa. Ngoja tuendelee kutoa muda! Viongozi wanasema "tumpe muda"
Ni hatari mjini hapa...ila usijali mambo yatakuwa sawa tu...uvumilivu unahitajika sana katika kipindi hiki cha mpito. Kumbuka there's always a way.
 
Picha za Simba kuzipata ni shida......kwahiyo msifikiri napost kishabiki
Napenda sana kubalance mzani
..............
Usijali mkuu, sie hatuna ushabiki huo humu.. We tupia tu..
Simba n arsenal ila sijali utakachotupia, km naona unainyonya simba ntatupia pia, sikatazwi...

Japo hapo umetupiga fix..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom