makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,956
- 104,348
sijamuona ujue naomba nitagie nimuone huyo dada aliyekuwa nyama ya mabazazi.
Cheki toto huko nyuma, kumezibwa zibwa na minyasi lakini wapi.. Angekuwa dunia ya sasa halaf mpenda sifa, aibu hana kama hawa wakina gigy money.. Angepiga pesa hatari.. Video nyingi angekuwemo..
