Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU NO 2#

Mauaji ya kimbali barani Africa hayajapewa uzito unaostahili kama mauaji ya kimbali ulaya au mauaji ya kimbali Uturuki katika upande mwingine wa Dunia.
Bado Kuna hali ya unyanyapaa dhidi ya watu wa Africa na matatizo ya Africa

Maneno yalitamkwa na Boutros Boutros -Ghali.
Boutros alizaliwa Nov 14,1922, ni mwanasiasa wa Misri na mwadiplomasia aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa kuanzia 1992 hadi Dec 1996.

Ni mwanataaluma na aliwahi kuwa naibu waziri wa mambo ya nje wa Misri, Aliiongoza UN katika wakati wa changamoto nyingi Duniani yakiwemo machaffuko ya Yugoslavia na Rwanda
Nilikuwa namkubali sana huyu mtu
 
NUKUU NO 2#

Mauaji ya kimbali barani Africa hayajapewa uzito unaostahili kama mauaji ya kimbali ulaya au mauaji ya kimbali Uturuki katika upande mwingine wa Dunia.
Bado Kuna hali ya unyanyapaa dhidi ya watu wa Africa na matatizo ya Africa

Maneno yalitamkwa na Boutros Boutros -Ghali.
Boutros alizaliwa Nov 14,1922, ni mwanasiasa wa Misri na mwadiplomasia aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa kuanzia 1992 hadi Dec 1996.

Ni mwanataaluma na aliwahi kuwa naibu waziri wa mambo ya nje wa Misri, Aliiongoza UN katika wakati wa changamoto nyingi Duniani yakiwemo machaffuko ya Yugoslavia na Rwanda
IMG_20160913_193257.jpeg
IMG_20160913_193307.jpeg

Kingongo
.......
 
NUKUU NO 2#

Mauaji ya kimbali barani Africa hayajapewa uzito unaostahili kama mauaji ya kimbali ulaya au mauaji ya kimbali Uturuki katika upande mwingine wa Dunia.
Bado Kuna hali ya unyanyapaa dhidi ya watu wa Africa na matatizo ya Africa

Maneno yalitamkwa na Boutros Boutros -Ghali.
Boutros alizaliwa Nov 14,1922, ni mwanasiasa wa Misri na mwadiplomasia aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa kuanzia 1992 hadi Dec 1996.

Ni mwanataaluma na aliwahi kuwa naibu waziri wa mambo ya nje wa Misri, Aliiongoza UN katika wakati wa changamoto nyingi Duniani yakiwemo machaffuko ya Yugoslavia na Rwanda
Mashujaa wasioimbwa kwa kuwa walikuwa mlengo wa kushoto!
 
NUKUU NO 3#

Nchi hizi za Marekani na Uingereza wamejichukulia mamlaka ya kuamua kwa niaba yetu kuhusu maendeleo ya Dunia
Na hata kuingilia masuala yetu ya ndani na kupandikiza kile wanachokiita mabadiliko ya kiutawala.

Maneno haya yamepata kutamkwa na Rais wa sasa wa Zimbabwe, ROBART Gabriel Mugabe. Mugabe alizaliwa Feb 21,1924, ni mwanamapinduzi aliyewahi kuongoza kundi la wapigania uhuru wa nchi hiyo kutoka kwa walowezi wa Uingereza.
Ni mwenyekiti wa Zimbabwe Africa National Union -Patriotic Front (ZANU-PF) tangu 1975, hiki ni Chama kilichopigania uhuru wa Zimbabwe
 
NUKUU NO 3#

Nchi hizi za Marekani na Uingereza wamejichukulia mamlaka ya kuamua kwa niaba yetu kuhusu maendeleo ya Dunia
Na hata kuingilia masuala yetu ya ndani na kupandikiza kile wanachokiita mabadiliko ya kiutawala.

Maneno haya yamepata kutamkwa na Rais wa sasa wa Zimbabwe, ROBART Gabriel Mugabe. Mugabe alizaliwa Feb 21,1924, ni mwanamapinduzi aliyewahi kuongoza kundi la wapigania uhuru wa nchi hiyo kutoka kwa walowezi wa Uingereza.
Ni mwenyekiti wa Zimbabwe Africa National Union -Patriotic Front (ZANU-PF) tangu 1975, hiki ni Chama kilichopigania uhuru wa Zimbabwe
IMG_20160913_194058.jpeg
IMG_20160913_194044.jpeg

Babu kauzu
Rais wa maisha
.......
 
NUKUU NO 3#

Nchi hizi za Marekani na Uingereza wamejichukulia mamlaka ya kuamua kwa niaba yetu kuhusu maendeleo ya Dunia
Na hata kuingilia masuala yetu ya ndani na kupandikiza kile wanachokiita mabadiliko ya kiutawala.

Maneno haya yamepata kutamkwa na Rais wa sasa wa Zimbabwe, ROBART Gabriel Mugabe. Mugabe alizaliwa Feb 21,1924, ni mwanamapinduzi aliyewahi kuongoza kundi la wapigania uhuru wa nchi hiyo kutoka kwa walowezi wa Uingereza.
Ni mwenyekiti wa Zimbabwe Africa National Union -Patriotic Front (ZANU-PF) tangu 1975, hiki ni Chama kilichopigania uhuru wa Zimbabwe
Komredi Mugabe atafia madarakani.

Viongozi wa kariba ya Mugabe wanazaliwa wachache sana katika kizazi hiki cha Instagilamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom