Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
nani na wanini??Kuna mtu namtafuta humu
nani na wanini??Kuna mtu namtafuta humu
Nimejipanga mkuuu....yaan hapa majaribu tunashinda kwa kisiginoHahaha, hata kina daudi na sulemani yaliwashinda, wewe utayaweza??
Weka baba, niweke leo katika Historia!Nukuu ya leo itawajia hivi punde
Nani huyo???Kuna mtu namtafuta humu
Khaa, sasa zinaangaliwaje zote??
Hahaha, labda ya aina zingineNimejipanga mkuuu....yaan hapa majaribu tunashinda kwa kisigino
Ulienda dodoma nini mkuuWakuu mko powa, leo nilibanwa sana, nilikuwa nje ya mji now ndio nimerejea na bila kupoteza muda nawaletea leo ktk Historia.
NUKUU NO 1#
Asilimia 90% ya wanasiasa ndio wanaosababisha wanasiasa wenzao ambao ni 10% iliyosalia, kuporoka kwa hadhi zao mbele ya Jamii.
Maneno haya yalisemwa na Henry Alfred Kissinger.
Kissinger alizaliwa Mei 27,1923. Ni mwanadiplomasia wa Marekani na mtaalamu wa siasa.
Amewahi kuitumikia nchi kwa wadhifa wa mshauri wa masuala ya ulinzi na usalama na baadaye, waziri wa mambo ya nje wa Marekani katika tawala za Rais Richard Nixon na Gerald Ford.
Ndiye aliyechangia kwa kiasi kikubwa Marekani kuondoa vikosi vyake nchini Vietnam na kuzawadiwa tuzo ya amani ya Nobel mwaka 1973
Nilikuwa hapahapa jijini kwa madereva.Ulienda dodoma nini mkuu
Amini hivyo Mkuu.......moyoni mwangu nimeliweka neno nisije mtenda Mungu dhambiHahaha, labda ya aina zingine

What a leader!NUKUU NO 1#
Asilimia 90% ya wanasiasa ndio wanaosababisha wanasiasa wenzao ambao ni 10% iliyosalia, kuporoka kwa hadhi zao mbele ya Jamii.
Maneno haya yalisemwa na Henry Alfred Kissinger.
Kissinger alizaliwa Mei 27,1923. Ni mwanadiplomasia wa Marekani na mtaalamu wa siasa.
Amewahi kuitumikia nchi kwa wadhifa wa mshauri wa masuala ya ulinzi na usalama na baadaye, waziri wa mambo ya nje wa Marekani katika tawala za Rais Richard Nixon na Gerald Ford.
Ndiye aliyechangia kwa kiasi kikubwa Marekani kuondoa vikosi vyake nchini Vietnam na kuzawadiwa tuzo ya amani ya Nobel mwaka 1973
Haya karibu TenaNilikuwa hapahapa jijini kwa madereva.
poaHaya karibu Tena
FinallyWeka baba, niweke leo katika Historia!
Pamoja sana mkuuWakuu mko powa, leo nilibanwa sana, nilikuwa nje ya mji now ndio nimerejea na bila kupoteza muda nawaletea leo ktk Historia.
Ahsante katibu wangu, Did u miss me?Finally
Karibu sana mwenyekiti