Makapuku Forum

Makapuku Forum

1997 - Mobutu Sesseseko anafariki Dunia.

Alikuwa ni Rais na Dikteta wa zamani wa Zaire ( Congo ).

Aliingia madarakani baada ya kumuua Waziri Mkuu Patrice Lumumba.

Anatajwa kuwa Bilionea wa kwanza mweusi duniani.

Alitambulisha sera ya Africanization ambapo kila mtu ndani ya nchi yake alitakiwa kubadilisha jina lake la kizungu na kutumia la kiafrika.

Alianza yeye kubadili jina toka, Joseph Desire Mobutu mpaka Mobutu Sesseseko Kuku Bendu wa Zabanga.

Pia alibadili jina la nchi kutoka Congo mpaka Zaire.

Alijenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake.
Salute to Mobutu Seseseko!!

Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
 
1968 - Marcel Desailly anazaliwa.

Ni mchezaji wa zamani wa Chelsea na Timu ya Taifa ya Ufaransa.

Alikuwepo kwenue kikosi cha Ufaransa kilichobeba ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 1998 pale nyumbani kwao Ufaransa.

Pia alibeba kombe la mataifa ya Ulaya " Euro " mwaka 2000.

Pamoja na kuwa ni Mfaransa, lakini alizaliwa nchini Ghana.
1473228916064.jpg
1473228921605.jpg
1473228926740.jpg

Asili yake Ghana
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom