shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Cc JonaxTena usinivuruge kabisaaa....we ndo mbaya wangu wa 100k!!!!!!!!!!!
Cc JonaxTena usinivuruge kabisaaa....we ndo mbaya wangu wa 100k!!!!!!!!!!!
Salute to Mobutu Seseseko!!1997 - Mobutu Sesseseko anafariki Dunia.
Alikuwa ni Rais na Dikteta wa zamani wa Zaire ( Congo ).
Aliingia madarakani baada ya kumuua Waziri Mkuu Patrice Lumumba.
Anatajwa kuwa Bilionea wa kwanza mweusi duniani.
Alitambulisha sera ya Africanization ambapo kila mtu ndani ya nchi yake alitakiwa kubadilisha jina lake la kizungu na kutumia la kiafrika.
Alianza yeye kubadili jina toka, Joseph Desire Mobutu mpaka Mobutu Sesseseko Kuku Bendu wa Zabanga.
Pia alibadili jina la nchi kutoka Congo mpaka Zaire.
Alijenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake.
Ila siumeyaona maukali yangu??😀😀We jamaa tatizo lako umebase kwenye uchukuaji matukio tu...umejisahau kuikimbiza 100k poyeeee lakin....![]()
Picha ya chini yupo na Komredi Joshua Nkomo.
Mh! Nilifanya mbaya gani Sweetie?
Eric Bailly " Ukuta "
Jechanism.Jana ndio ilitia fola, mara briz, mussolin na Quigley baadaye jimena ndio ikatulia turi
Niliitusua sema fitna zilikuwa nyingi mnoo..Hahahaha.... nipo hapa Sweetiepie umeamkaje?? Ulifanikiwa kuitusua??



Sasa walinzi wake kama ni wafupi ilikuwa kituko.
Cc: JimenaLeo ni siku ya wapenda bia nchini Marekani.
KweliToeni like nyie ndezi
Mnabana
![]()
![]()
![]()
![]()
......
1968 - Marcel Desailly anazaliwa.
Ni mchezaji wa zamani wa Chelsea na Timu ya Taifa ya Ufaransa.
Alikuwepo kwenue kikosi cha Ufaransa kilichobeba ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 1998 pale nyumbani kwao Ufaransa.
Pia alibeba kombe la mataifa ya Ulaya " Euro " mwaka 2000.
Pamoja na kuwa ni Mfaransa, lakini alizaliwa nchini Ghana.
Mhhhh no mo war in Pakistan jamanLeo ni siku ya Jeshi la Anga nchini Pakistani.
Mimi tu ndio sibaniToeni like nyie ndezi
Mnabana
![]()
![]()
![]()
![]()
......
Castle lite moya plizLeo ni siku ya wapenda bia nchini Marekani.
Ulinishika mkono sana hadi ukawa unanivuta....nikashindwa kutusuaMh! Nilifanya mbaya gani Sweetie?

