Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
2005 - Misri yafanya Uchaguzi wake Mkuu wa kwanza katika Historia ya nchi hiyo.
Mwana harakati huyo1986 - Desmond Tutu anakuwa mtu wa kwanza mweusi kuongoza kanisa la Anglikana huko South Africa.
Nilim-quote Quigley aliye uliza 100k nani katupia, nikajibu fulani, then nikamsabahiHaya sasa masihara![]()
![]()
![]()

Always usingizi huwa ni mnono pembeni ya brizMorning my Twin naona leo umelala usingizi mwororo kabisa uongo?
Sent from my SM-G361H using JamiiForums mobile app
KumekuchaWe mwache tu
Mambo vp AnkaliMorning mtu wangu wa nguvu!
Umetisha sanaLeo namleta mtu wa Massage aje hadi kwako kukurelaxisha misuli yako kazi ya jana haikuwa ndogo kama zawadi yako kwangu...nimlete wa kike au wa kiume?? chagua hapo.
1986 - Desmond Tutu anakuwa mtu wa kwanza mweusi kuongoza kanisa la Anglikana huko South Africa.
Ilikuwa hatari sanaGoodmorning family, hongera Jimena kwa 100k naona timing hazikuwa predictable maana post kama 50 mbele Watu wanagombania![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndiyo hivyoUwiiii![]()
Mimi shingo iliuma sanaJana nilikuwa nacheka sana hadi nikaulizwa....nkasema makapuku hao!!!
1986 - Jenerali Augusto Pinochet, Rais wa Chile ananusurika katika Jaribio lililolenga kumuua.
Navutwaa, ulitisha sanaHumu ndani kuna mchawi wangu, jana hivi hivi nilikuwa navutwa shati wakati naikimbiza 100k....na lazma atakuwa Jonax, nimelala kwa mawazo sana! haiwezekani msoc wangu nimeutelekeza ukapoa kwa ajili ya kufukuzia mwisho wa siku nikatoka na Nunge! wajanja mkawa mnatupia herufi moja moja kuitegea! mi naandika tu...mchawi mwingine ni yule Anajiita Nsekwa...alisema nimshike mkono ndio akanipunguza speed...
. Aaaaargh.
Leta ww unayejuaLatvijas bank
Kinega wee
NilikusikiaNimecheka sana jana hukunisikia?![]()