shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Jiongeze sasaHuyu chini ya meza mbona kama chui!!![]()
Jiongeze sasaHuyu chini ya meza mbona kama chui!!![]()
ThanksGood morning!
Haina shida, ni saa ngapi hiviTuje twende basi Jirani naona kuna Juice pale...itanifaa sana
2005 - Misri yafanya Uchaguzi wake Mkuu wa kwanza katika Historia ya nchi hiyo.
Jana ndio ilitia fola, mara briz, mussolin na Quigley baadaye jimena ndio ikatulia turiNimem-quote mwingine imeenda kwingine!!! KF inaitetemesha JFhata post ya 100k inabadilika badilika
Sasa nsekwa ndo nini kunifanyia ile jana vile??Thanks
Asubuhi hii alale salama?Ulale salama pia
Hahahaha.... nipo hapa Sweetiepie umeamkaje?? Ulifanikiwa kuitusua??Morning Genius...
1935 - Abdou Diouf anazaliwa.
Alikuwa Rais wa pili wa Senegal.
Na wewe uko machoWerrason
Morning brizGoodmorning FAMILY!!
Haya basi na wewe umeunusa, usingevutwa ungewiniHadi mimi bhaana mbona hivyo....![]()
Yap.View attachment 395313View attachment 395314
MwiziView attachment 395317
Picha wenyewe ilichorwa na Leonardo Da Vinci
..........
1963 - Easy E anazaliwa.
Ni rapa wa muziki wa Hiphop kutoka nchini Marekani.