makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,930
- 104,252
Kabisa mzee mwenzangu, hiyo huchelewi kutema mate kushoto ukafukia kulia. 😂
Basi tunakubadilishia Mwenyekiti...
Usije kuleta fedheha Mzee mwenzangu..
Kabisa mzee mwenzangu, hiyo huchelewi kutema mate kushoto ukafukia kulia. 😂
Basi tunakubadilishia Mwenyekiti...
Usije kuleta fedheha Mzee mwenzangu..
Usiseme hivyo mzee mwenzangu, nami nina moyo mwenzio.Anything for you Chairman![]()
Mlijificha wapi, mie mpaka nataka nitoke.Tupo Mwenyekiti..
Hapa mtani atajipigia nyiingi tu, hii sio timu ni kikundi tu kimeokotana.HATIMAYE ZALAN WAMETUA DAR
.
Zalan FC ya Sudan Kusiniwamewasili nchini kwa ajili ya mechi yao dhidi ya Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.View attachment 2351754
KamandaPolenii
Gawa tu ule raha duniani, unakibana bana kitakuja kuliwa na nyenyere tu 😂Sitaki kusumbuana na mtoto wa mama mkwe auntie sitaki shida bora nikufwe na utamu wangu
Kabisa mzee mwenzangu, hiyo huchelewi kutema mate kushoto ukafukia kulia.![]()





Ndiyoooo....Usiseme hivyo mzee mwenzangu, nami nina moyo mwenzio.
Mlijificha wapi, mie mpaka nataka nitoke.




Basi fanya hivyo mzee mwenzangu, sio mpaka watoto watoke shule tena. Mamno yasiwe mengiNdiyoooo....
Kwenye Wazeee hakishindikani kitu....
Nawachabo
Tupo hapa kwa comment section Mzee Mwenzangu....
Usijali Mwenyekiti...Basi fanya hivyo mzee mwenzangu, sio mpaka watoto watoke shule tena. Mamno yasiwe mengi
Sanamu yako sijui niijenge wapi mimiUsijali Mwenyekiti...
Kila kitu kipo under my Control..
ni kweli shangaziWazungu wanasema true love never die
Daraja la KijaziSanamu yako sijui niijenge wapi mimi

Naomba nikaliweke pale pale B.O.TDaraja la Kijazi![]()
Sawa Mwenyekiti...Mimi ni nani nikatae.Naomba nikaliweke pale pale B.O.T

Fadha notisi inawezekana nikalihamishia kabisa BURJ KHALIFA juu kabisa kule.Sawa Mwenyekiti...Mimi ni nani nikatae.
Likae hapo until further notice.