Msimu uliopita iling’olewa hatua ya awali na Amazulu ya Afrika Kusini
kwa jumla ya mabao 3-2 baada ya awali kushinda ugenini bao 1-0 kabla ya kulala 3-1 nyumbani.
na msimu wa 2018-2019 ilitolewa kwa penalti 4-3 na Gor Mahia ya Kenya
baada ya sare ya 1-1 mechi zote.
AKPAN KUIKOSA BIG BULLETS
itasimama kwa dakika 90 kushuhudia wawakilishi watatu katika Ligi ya Mabingwa Afrika, SIMBA, YANGA na KMKM leo wakitupa karata zao za kwanza katika raundi ya kwanza ya mashindano hayo jioni hii na usiku.

Shauri yako.Acha tu kwa sasa kiliwe na nyenyere
Aahh, mzee mwenzangu Unanikosea adabu 😂, Utu uzima huu tena nitangaze.. I dont kiss n tell.Eeeeeeh... Fadha notisi ndiyo itaamua wapi litakaa baadaye..
Ila usiende kutangaza![]()
Hhmm, hawana mambo hawa wajomba, sijui lakini nngoja tuone.sema wanaweza kutushangaza
Vipi hali yako mzee?Saluuuteeee
Shiiiiiiiii..... 🤫unapotelea wapi
Safi, weekend inasemaje?niambie chief
week end iko poa.hp nikutafuta ugali nyama choma na kuzimuaSafi, weekend inasemaje?
Maisha mafupi haya.week end iko poa.hp nikutafuta ugali nyama choma na kuzimua