Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
alafu acha nikaushe natoka siri boss tajiri dada 😃😃😃[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
alafu acha nikaushe natoka siri boss tajiri dada 😃😃😃[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unafikiri ni kwa mjomba wako huko eeh?Wakati naichungulia Yerusalemu kwa mbali[emoji1787]
lift mie nipo mzigoni nakusakya makopo ya maji .. au lift ya kwenda wapi tena 😒😒[emoji3][emoji3][emoji3]
Suala la lift mbona unanikataa lakini?[emoji28]
[emoji1787][emoji1787] Hizo mambo zimenishinda sana yani sipendi mpaka sipendi tenaNiambie - poa
Mambo vipi - safi
Unaendeleaje - poa
Mziwa wewe - ndio
.
.
.
.
.
Yaani ni mlolongo wa salamu tu, hata kipindi cha kutuma salamu redioni hakiko hivyo woooi!
[emoji1787][emoji1787] Sasa na sie tufanyeje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu hajinenei, tayari yuko kwenye ulimwengu halisi. Sie ndio bado tuko kunakofikirika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yuko anaziba ziba huba lake maana limetoboka hiloooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe hauna hizo pigo baby, ningeshakutoa baru.
Hapana binamu sio hivyo kuna ile inbox salaam haziishi hapana jamani...hupendi kusalimiwa na kushukuriwa aunt!!!? Salam ni upendo, utanifanya niache kumsalimia Makiwendo sababu baada ya salamu huwa sijui niandike jambo gani jingine 🙂
Asante kwa kusoma
Nawasalimia wote bila kujali mmeamkaje na nnawatakia siku nzuri
[emoji1787][emoji1787]Me nimefanyaje auntie yangu mama wa jeep[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie hata wewe?? Ni sawa...
Watu na mapenzi yao auntie sisi sijui tunafeli wapiiiiNiko hapa Auntie....
Huba lipo site...[emoji16]
Eeenh mama wa jeep huyooLeo asubuhi alikuwa karipaki pale hotelin walipo mtekea Mudi, sijui nae ni member pale.. hapendi sana show off
Tuendelee tu kuota auntie, one day yes[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa na sie tufanyeje
Anafanya siri hajawahi tuambia kabisa kama ako na jeep[emoji19][emoji19][emoji19][emoji19] Kitu DZD Autobiography ni [emoji91][emoji91][emoji91] kina Shunie hujawapa hata lift au kwakua unafanya siri.. Inabidi unisamehe kwa kuwa kihele hele kusema una Range Rover mpya
Na sasa hivi ana Range Rover Autobiography jipyaa namna DZD..Anafanya siri hajawahi tuambia kabisa kama ako na jeep
Auntie. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mambo ya kujinenea makubwa hayo ebu niache kujinenea ist mie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha hizo HM.... sasa wewe hadi umejua kina Shunie wasijue kweli?
Si unaona hadi wao wanashangaa tu[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuendelee tu kuota auntie, one day yes[emoji1787]
Mwambie basi atununulie hata ka ist tu [emoji847]Na sasa hivi ana Range Rover Autobiography jipyaa namna DZD..
ist kitu gani kwake.. wafanya kazi wake wote aliwachukua Crown GRS204 na Mercedez Benz C250 CGI .. muambie akuchukulie Benz yake hata E350 hashindwi huyo, mwenzako simu moja tu pale CFAO.Mwambie basi atununulie hata ka ist tu [emoji847]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie haiwezekani me ndugu yako nisimamie bomba la mwendokasi we unaishi kwa raha hiviist kitu gani kwake.. wafanya kazi wake wote aliwachukua Crown GRS204 na Mercedez Benz C250 CGI .. muambie akuchukulie Benz yake hata E350 hashindwi huyo, mwenzako simu moja tu pale CFAO.