Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Hizi bus mpaka mtwara zipoKimbinyiko ya mtwara au
Hizi bus mpaka mtwara zipoKimbinyiko ya mtwara au
Au niambie!! Sasa wewe ndio umepiga simu halafu mimi ndio unataka nikuambie nini sasa![]()



mimi huwa najibu dry poa au safi atakaa weeeeh akirudi zinaanza salaam kiukweli salaam tu hazina mwanzo wala mwisho yaani sipendi me ni mvivu sana kuchart chart
Sio mwenzetu huyo.


ulijisemea auntie tujinenee makubwa mwenzetu ndio huyo na keep yake
Nyieee jamaniii hivi ni kweliNami kazi yangu ni kukupenda na kukuheshimu baba.
Huba linamwagikaaaa.Asante mama nitakupenda daima


auntie maki uko wapiiiiNdio nimepanda sana kipindi nafanya mishe hukoHizi bus mpaka mtwara zipo
Hahaha najifunzaHuba linamwagikaaaa.auntie maki uko wapiiii
Niambie - poamimi huwa najibu dry poa au safi atakaa weeeeh akirudi zinaanza salaam kiukweli salaam tu hazina mwanzo wala mwisho yaani sipendi me ni mvivu sana kuchart chart
ulijisemea auntie tujinenee makubwa mwenzetu ndio huyo na keep yake






Yuko anaziba ziba huba lake maana limetoboka hilooooHuba linamwagikaaaa.auntie maki uko wapiiii



Nifundishe namna ya kuchat maana naona kama nasemwa mimiNiambie - poa
Mambo vipi - safi
Unaendeleaje - poa
Mziwa wewe - ndio
.
.
.
.
.
Yaani ni mlolongo wa salamu tu, hata kipindi cha kutuma salamu redioni hakiko hivyo woooi!
Nifundishe namna ya kuchat maana naona kama nasemwa mimi





Sawa asante
Wewe hauna hizo pigo baby, ningeshakutoa baru.
...hupendi kusalimiwa na kushukuriwa aunt!!!? Salam ni upendo, utanifanya niache kumsalimia Makiwendo sababu baada ya salamu huwa sijui niandike jambo gani jingine 🙂mimi huwa najibu dry poa au safi atakaa weeeeh akirudi zinaanza salaam kiukweli salaam tu hazina mwanzo wala mwisho yaani sipendi me ni mvivu sana kuchart chart
.....duh, huyo anayejibu atakuwa na dhiki sana ya maneno na kakosa mate ya kumeza anashindwa ateme vipi.Niambie - poa
Mambo vipi - safi
Unaendeleaje - poa
Mziwa wewe - ndio
.
.
.
.
.
Yaani ni mlolongo wa salamu tu, hata kipindi cha kutuma salamu redioni hakiko hivyo woooi!
...karibu tena mdau, ndugu yako bado napambana na uchumi wa gesi na cementNdio nimepanda sana kipindi nafanya mishe huko
Asante mkuu maana nina ratiba ya kufika tena huko kwaajili ya matembez ya kawaida tu...karibu tena mdau, ndugu yako bado napambana na uchumi wa gesi na cement