Makapuku Forum

Makapuku Forum

...hupendi kusalimiwa na kushukuriwa aunt!!!? Salam ni upendo, utanifanya niache kumsalimia Makiwendo sababu baada ya salamu huwa sijui niandike jambo gani jingine 🙂
Asante kwa kusoma
Nawasalimia wote bila kujali mmeamkaje na nnawatakia siku nzuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baada ya salamu si unaleta hata story tu jamani..[emoji28]
 
Asubuhi nilikuta gari yako pale mitaa masaki pale walipo mtekeaga tajiri mwemzako Mudi, sijui hotel gani ile ija jina gumu gumu. nikajipiga kifuani nikasema dada yanguu huyoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila HM... sasa mimi huko Masaki naenda kufanyaje jamani?

Mitaa yenu hiyo.. si unaona hadi Hotel unaijua[emoji2]
 
Hata hicho sawa tu Tajiri[emoji1]
Uzuri Tajiri amalizi mwaka na gari hilo hilo..
Ewaa.. umeisha badirisha tayari ? ndio maana juzi nilipita ofisini kwako sehemu ya kupakia gari yako nikakuta Range Rover autobiography mpya namba DZD nikasema una mgeni kumbe ni wewe.. Hongera sana Tajiri dada yangu, nitamuambia na dada Hadde huenda hana hizi taarifa
 
Ewaa.. umeisha badirisha tayari ? ndio maana juzi nilipita ofisini kwako sehemu ya kupakia gari yako nikakuta Range Rover autobiography mpya namba DZD nikasema una mgeni kumbe ni wewe.. Hongera sana Tajiri dada yangu, nitamuambia na dada Hadde huenda hana hizi taarifa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana.... Usitake kujua ni kiasi gani nimeangua kicheko...

Hiyo life mbona sijifikia Broh!!! Life ya Kiduku Lilo hiyo....Na wewe ukiwa kwenye list...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana.... Usitake kujua ni kiasi gani nimeangua kicheko...

Hiyo life mbona sijifikia Broh!!! Life ya Kiduku Lilo hiyo....Na wewe ukiwa kwenye list...
😒😒😒😒 Kitu DZD Autobiography ni 🔥🔥🔥 kina Shunie hujawapa hata lift au kwakua unafanya siri.. Inabidi unisamehe kwa kuwa kihele hele kusema una Range Rover mpya
 
Back
Top Bottom