Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,186
- 35,341
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nikukute basi.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nikukute basi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilikuoa lini?
Wewe huyo?[emoji28]Kho!!!acha niingie kwa muhindi sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulitoboe mwenyewe halafu mimi nishindwe!![emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Basi karibu chai na mkate.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]alafu kwanini ulikata ile course pale Havard ambayo wanakutana matajiri na viongozi wakubwa wakubwa tu duniani nakumbuka hata Sumaye alifanya ile course ya mambo ya Leadership sijui.. au biashara zimekutinga [emoji3526][emoji3526]..
Ewaaa.. Ndio mimi Tajiri wewe umenikataa ofisini kunipa kitengo sijui tu yani..Wewe huyo?[emoji28]Kho!!!
He he he!!!Unamkaribisha chai aina gani na mkate wa aina gani ? Huyu ana mikate yangu maalumu huwa inatoka Egypt kitu kama sikosei na chai yake ni maalumu sidhani kama majani yanapatikana kwa mangi
Si si ile mie ndio ulinituma kuchukua ile barua , nimeshangaa hadi leo upo ,😃😃[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akiyanani!!!! Mbona mambo makubwa sana haya kwangu jamani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umefanya siri, mie nilikuta parking nimeunga dot uliposema matajiri mnabadilisha magari
PA nimtoe wapi Tajiri?[emoji2]hauwezi kujua kwa idadi ya nyumba ulizo nazo ngumu kukumbuka asee, labda yule PA wako ndio anajua
Hizo huachi kabisa, unakwenda kupambana nazo motoni[emoji1787]Nyingine nakuachia.[emoji38]
Haa msalimie PA wako.. acha niingie kiwandani mie kukusanya chupa za kuwekea maji.. kibarua kisije ota nyasi 😃😃PA nimtoe wapi Tajiri?[emoji2]
Mambo yako hayo...
[emoji3][emoji3][emoji3]Ewaaa.. Ndio mimi Tajiri wewe umenikataa ofisini kunipa kitengo sijui tu yani..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si si ile mie ndio ulinituma kuchukua ile barua , nimeshangaa hadi leo upo ,[emoji2][emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikutarajia
Matusi ya nyie matajiri ni dawa utasikia we jinga chukua hiyo $ 1000 ukalale 😃😃[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka hadi tusi limenitoka...
Wakati naichungulia Yerusalemu kwa mbali[emoji1787]Hizo huachi kabisa, unakwenda kupambana nazo motoni[emoji1787]
Wewe huyo[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hili nalitunza kama mboni....