Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Auntie haiwezekani me ndugu yako nisimamie bomba la mwendokasi we unaishi kwa raha hivi






Mbona bomba...
Hapo mtu ajachungulia simu yako ukiwa unachart




Auntie haiwezekani me ndugu yako nisimamie bomba la mwendokasi we unaishi kwa raha hivi










Hapo hapendi show off hajioneshi ngumu kukunulia, hataki watu wake wa karibu wajue utajiri wake na mali anazomiliki







alafu si ndio ulikuwa mshauri wa maswala ya biashara zake Mudi au umempiga chini
Nyie!!!!!
Hiyo life hata MO anaifanya kwa Staff wake kweli?
Nifanyie connection huko kwa Mhindi Tajiri.Acha niibebe boksi za muhindi hapa.. nikikosa kazi nitalala njaa

aah gari zako umeziacha services eeh.. kwa heshima yako nakupitia kwakua nimetumwa kupeleka matunda ununio nitakupitisha kwako hapo




Utajaza mafuta , ,😒😒
Service ipi wewe?
Aki nipitie!!saa ngapi nikuchek sasa...Nipo serious..
hapo ukawii kuaguza Ford Raptor usivyopenda kupitwa ,![]()




alafu si ndio ulikuwa mshauri wa maswala ya biashara zake Mudi au umempiga chini






Si una Card wewe???Utajaza mafuta , ,![]()

ndio nini hiyoSi una Card wewe???![]()
ahaaa nimeunga dot hapa.. ndio maana unaendaga colosseum , meeting zenu ndio pale uwe makini na wewe usije tekww
Mimi huyo? Huu sasa Utani...Wallah!!
EeenhHapo hapendi show off hajioneshi ngumu kukunulia, hataki watu wake wa karibu wajue utajiri wake na mali anazomiliki
mie mwenye kaninyimq kitengo kaniacha napambambana na kanjiabaiEeenh
Nimekumiss jamani...




me sanaaa auntie ebu siku tupange tukae masaki uko kwa wazungu hata carambezi au fish market tumwagilie moyo bwana weeeh maisha ndio hayahaya na hela tunatafuta au kama vipi tukae hata uswahilini kwetu
Wallah!!! Nacheka hapa kama chizi kaona jalala jipya
Niache Auntie..


cheka tu
Kwamba atupee mpenzi wakeMwenzangu...
Mwambie atupee basi Auntie..


auntie we kuwezaaa
Notifications janga la watumiaji app wote tunaingia kwa kuvizia tudah notifications huwa lkn muda nazikosa shangazi,samahani
Ndiyo Auntie...
Tujinenee aiseee....
Ila huko anaposema HM parefu sana...




